Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 1,147
- 2,765
Kalale tu usingizi hii timu itakuua na ugonjwa wa moyoMi naifatilia tu hapa kwenye masimulizi ....make najua HT tu mwarabu atakua katukanda wanasimba
Kalale tu usingizi hii timu itakuua na ugonjwa wa moyoMi naifatilia tu hapa kwenye masimulizi ....make najua HT tu mwarabu atakua katukanda wanasimba
Yanga ameingia uwanjani na YutongKamwe haiwezi ikuta ya yanga mzee scar's
Kufa hakuna staili Simba anatekenywa huku bado kidogo anakandwaWanasema hakuna kufa kiume kufa ni kufa tuu nimechekaa😂😂
I love Yanga
I love Simba❤️
Marefa wa leo kazi ipo, ila yule aliyetufanyia figisu nimetamani angechezesha kombe la mbuzi, mwisho wa mchezo angepigwa ndoa ya mkeka na wahuni 😂😂😂yaan leo, ni full kushuhudia manjegeka ya marefa. Woiiiiiih
Mwaka jana Wydad walitutoa kwa matuta tukasema tumetoka kiume wakatucheka sana. Afadhali watoke.. timu zenyewe wanasiasa sasa wanachukua misifa acha zitolewe tuLeo na wao waonje uchungu wa kufa kiume.
Angalia shkts on Target mzeeYanga ameingia uwanjani na Yutong
Hiyo tayari ni kukubali kuwa mpinzani amekuzidi uwezo hauna stamina ya kupishana naye.
Lakini angalia hizi stats na hapo Simba yupo away tena kwenye ardhi ngumu ambayo miamba mingi haijawahi kuwa na takwimu hiziView attachment 2955008
Bora umesema weweHuyu Ayoub Lakred ni kipa mzuri sana, Manula ndio kapoteza namba hivyo.
Moja kati ya eneo ambalo Simba Sc ana utajiri wa vipaji ni eneo la golini, kuanzia kipa wa kwanza hadi wa nne hakuna kiazi.
Uduguu em umelewaa wee?Simba nawaombea mshinde mtufute machozi, wote watz. Nyie ndio Musa pigeni mafirauni hao
Ahl hawana hata moja wakati mnyama ana 2Angalia shkts on Target mzee
wasiogope waitumie tuPole sana. Ile kauli ya kufa kiume vipi?