FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

20240405_234515.jpg
 
Kamwe haiwezi ikuta ya yanga mzee scar's
Yanga ameingia uwanjani na Yutong

Hiyo tayari ni kukubali kuwa mpinzani amekuzidi uwezo hauna stamina ya kupishana naye.

Lakini angalia hizi stats na hapo Simba yupo away tena kwenye ardhi ngumu ambayo miamba mingi haijawahi kuwa na takwimu hizi
Screenshot_20240405-234459.png
 
Huyu Ayoub Lakred ni kipa mzuri sana, Manula ndio kapoteza namba hivyo.

Moja kati ya eneo ambalo Simba Sc ana utajiri wa vipaji ni eneo la golini, kuanzia kipa wa kwanza hadi wa nne hakuna kiazi.
Bora umesema wewe
 
Back
Top Bottom