Money Got the power to drive poor people. kuwa maskini sio kuvaa misepwetuko... ila kufanya la kila namna ili kupata HELA.
 

..waandishi wanasema wamefanya mlinganisho ufuatao na kuona Magufuli amechomoza kuliko wenzake.

1. Chato vs Butiama.

2. Chato vs Mkuranga.

3. Chato vs Lupaso.

4. Chato vs Msoga.

NB:

..uwanja umefunguliwa kuandika vitabu kuhusu Magufuli.
 
kwa ufupi meko anapaswa afukuliwe hapo walipomzika ajarazwe viboko 12, alafu hiyo mifupa yake tuitupeee huko barabarani mbwa wale. useless

Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
 
 
Huu uharo watanunua hao wapumbavu waliokiandika na mabwana zao waliowapa pesa wajidhalilishe mbele ya uma wa wazalendo.
Hata sisi tulio dhulumiwa korosho tuna uhitaji wa eapot ya kimataifa ! Tena sisi huku tulikuwa na vitu vya maana kuliko bugiti sijui burigi! Huku kuna gesi , wanyama hapo seluo kwa hyo atleast wawekezaji na watalii watakuja na mwewe huku wakitokea direct kwao!
 
"I am the State" bonge la Tittle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…