Mkuu, ukumbuke mpaka kauleta huu uzi ina maana anamfahamu mkewe na anajua si kawaida yeye kubehave hivyo. Uthibitisho wakati mwingine huchelewa ila deep in your heart unajua kabisa kuna kitu hakipo sawa.Hana uthibitisho mkuu hivyo atulize figo zake siku akipata uthibitisho Basi atanue mbawa hakuna namna.. hiyo sms haitoshi kuhukumu nachomsifu jamaa ni kuwa anawivu hii ni dalili kuwa nampenda mtu wake
Sms nzuri kivipi? Kwanini aseme 'hakuna mwingine zaidi yako'?Wabongo jamani mnashida sana.
Mtu anatuma sms nzuri kwa mumewe yeye anahoji?
Ulitaka aambiwe nani?
Ushaanza kudoubt...daaa kazi kwelikweli....
Umezoa sms za mume wangu, mtoto anaumwa, nitumie hela ya chakula
Mmmh kujiamini gani huko, kwani mke wa ndoa anategemewa kuwa na mwingine zaidi ya mumewe?Ehjinsi gani mahusiano yamekuwa changamoto Hadi wa kwenye ndoa hamjiaminiYan msg nzr km hiyo unafikiria _ve tu
Hapo Kuna nadharia mbili, inawezekana iyo text ulikuwa unatumiwa wewe au ilikuwa inatumwa kwingine.Je kuna usalama kweli wakuu, niko mbali na mke wangu , then from nowhere kanitumia hoyo text
Mkuu hata usingizi hauji sielewi kabisa, nimejaribu kumuelekeza izo kauli na jambo jingine lilikua haliposawa akawa kwenyesimu haongei, namwambia mbona huongei anasema nakusikia ila nikiongea hanijibu mwishoe nikaamua nikate simu, ila moyo unaniuma, nimepiga tena hapokei na najua kesho atadai nilipokata cm alilala da! Sijui yanSms nzuri kivipi? Kwanini aseme 'hakuna mwingine zaidi yako'?
Angesema tu "nakupenda wangu" kwani isingeeleweka?
Uzi ukiletwa huku ina maana unatuhusu wachangiaji wote mkuu.. Siri zinaishia kwa pmKama katoka kukojolewa wewe inakuhusu nini?
Watamuua humuu....huyu jamaa anaomba ushauri wa aina hii hapa anategemea nn zaidi ya comment za kumpa pressure tu