From Madame B to Mung Chris...

Umeamua kutumia shairi kufikisha ujumbe hongera
 
Nakutakia kila kheri mpwa na maisha mema wewe na chaguo la moyo wako......

Kumbuka nguzo kuu ya penzi imara ni kuvumiliana na kusameheana.....

Mungu awasimamie kwenye maisha yenu na uzao wenu
Asante sana mpwa wangu.
Tutayafuata yote na kuahidi kuyatimiza.

Wala hamtasikia tumeenda kinyume.
Asante sana nawe naomba uwe na amani, tuko salama na tunaheshimiana vilivyo.
Asante mpwa.
 
Kumbe ndugu yangu alishakukula?

Na hiyo RIP mbona sielewielewi?

Msalimie dadaako afu heshima ishike mkondo. Vinginevyo natoa siri zako kwa jamaa...

Mwambie dadaako aondoe sana nshanunua bastola
Hahahahha
We Asprin unaanza mbwembwe zako eeee.

Hayo yalishapita bhana, nitaanza kulia hapa.
Dada amesharudi kama shemeji, anaanza safari ya kulea kichanga.

Nenda Pm yake ila nakukumbusha tu, shem ile bastola yake kaenda kuikatia kibali tena, hivo kuwa makini.
Kipindi kile ulikoswa ila safari hii atapasua bichwa hilo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…