naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 474
- 1,062
Vijana wenzangu pambaneni bila kukataa tamaa hakika inawezekana, niliacha kazi ya kuajiriwa mwaka 2016,
Nilipitia magumu, lakini sikukataa tamaa
Hakika safari ilikua ndefu sana,yenye Kila aina ya machungu,Leo hii nimesimama imara Nina vijana zaidi ya 31 wenye elimu zao ambao familia zao zinafaidi matumda ya uvumilivu na machungu niliyopitia,narudia tena HAKUNA KUKATA TAMAA
Nakumbuka kuna kijana wakati napitia magumu aliniambia broo kwanini usirudi kwenu mbona naona kama unaweza hata kuchanganyikiwa,
Juzi jumanne nimekutana na yule kijana ofisi kwangu akiomba Ajira ya udereva ambazo nimetoka kuzitangaza week iliyopita
Nilipitia magumu, lakini sikukataa tamaa
Hakika safari ilikua ndefu sana,yenye Kila aina ya machungu,Leo hii nimesimama imara Nina vijana zaidi ya 31 wenye elimu zao ambao familia zao zinafaidi matumda ya uvumilivu na machungu niliyopitia,narudia tena HAKUNA KUKATA TAMAA
Nakumbuka kuna kijana wakati napitia magumu aliniambia broo kwanini usirudi kwenu mbona naona kama unaweza hata kuchanganyikiwa,
Juzi jumanne nimekutana na yule kijana ofisi kwangu akiomba Ajira ya udereva ambazo nimetoka kuzitangaza week iliyopita