Wapambe Wa Waziri Mkuu Aliyejiuzuru Kutokana Kuhusika Na Ufisadi Wa Kampuni Ya Richmond Edward Lowasa Siku Ya Jumamosi Tarehe 28/02/2015 Saa 7:00 Mchana Watakuwa Na Kikao Na Baadhi Ya Makada Na Vijana Hapa Mlandizi, Kwa Mujibu Wa Ujumbe Mfupi Wa Maandishi Uliotumwa Kwa Walengwa Kikao Hicho Kitafanyika Katika Ukumbi Wa Msukuma Mtongani Hapa Mlandizi, Habari Za Uhakika Kutoka Kwa Baadhi Ya Wanaoratibu Zoezi Hilo Kuwa Kikao Hicho Kina Lengo La Kujenga Mtandao Utakaorahisa Azma Ya Lowasa Kuwa Rais Wa Tanzania Kwa Gharama Yeyote Ile, Katika Kikao Hicho Lowasa Hatokuwepo Kwa Kukwepa Mkono Wa Chama Chake, Bali Kitaendeshwa Na Timu Yake Inayozunguuka Nchi Nzima, Walioalikwa Watalipwa Nauli, Chakula Na Vinywaji, Haya Shima Watu Wa Mlandizi Changamkieni Tenda Hiyo.