Social maniac
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 357
- 429
Ha ha ha, kuna mwanangu alikuwa anaonewa wivu na ka.haba mmoja wa buguruni...![]()
![]()
![]()
mapenzi kitu kingine...
Shanga mtu kaoa Ila anamuonea wivu mchepukoo!!
mi siwezi ht kidogo
Ha ha ha, kuna mwanangu alikuwa anaonewa wivu na ka.haba mmoja wa buguruni...![]()
![]()
![]()
mapenzi kitu kingine...
Shanga mtu kaoa Ila anamuonea wivu mchepukoo!!
mi siwezi ht kidogo
Ha ha ha, kuna mwanangu alikuwa anaonewa wivu na ka.haba mmoja wa buguruni...
penzi bwanaaa...HODI HODI . ...UKIMWIHii kitu inanifurahisha sana, x wangu anaomba tuwe friend for benefit yaani ninapomuhitaji muda wowote anakuja tunafanya yetu kisha anasepa ila hataki tuwe official kimapenzi kwakuwa anadai hataki stress za mapenzi maana alishaumizwa vya kutosha.
Sasa swali langu jamani mwisho wa huu mchezo ni nini maana kuna muda hua namuonea wivu nikimkuta anaongozana na mwanaume mwingine japo sijui kama yeye hua ananionea wivu akinikuta na msichana,
Kwa yeyote mwenye ushauri juu ya friends for benefit naomba maoni tafadhali maana sielewi mwisho wake ni nini...,
Dua yangu nitakuwa najiombea mwnyw![]()
![]()
![]()
dah aiseeh...!
niombee tu hakuna namnaa
ohoooooo......Dua yangu nitakuwa najiombea mwnyw
Ni story ndefu hata sitamani kukumbuka but inshort alinicheat bila sababu ya msingi ndio chanzo cha kuachanaSasa kilichowafanya mkaacha hapo awali ni nini?! hadi mnaanza kuitana ma ex, Mara friend with benefit....tupe stori kamili tupate picha kamili then tukupe ushauri kamili.
HA HA HA HAA....SAFI SANA.It does not work mzee.
I have been there, na tumeishia kuwa in a love relationship. Kila mmoja alianza kumuonea wivu mwenzie.
Ha ha ha, kiongozi haya mambo ni magumu sana practically, ila theoritically ni rahisi mnooo!HA HA HA HAA....SAFI SANA.
Ww ndio chagua langu la kwanzaohoooooo......![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
jiombee upate mwenzaa
Ww ndio chagua langu la kwanza
nokiaaaa!!!thank uuu!Kurudiana na mtu aliyekuacha ni ufala wa ajabu,alikuona humfai ,amezungukaaa kwako ndiyo choo cha shimo,kipo tu nje,yeyote anakojoa.Sasa kilichowafanya mkaacha hapo awali ni nini?! hadi mnaanza kuitana ma ex, Mara friend with benefit....tupe stori kamili tupate picha kamili then tukupe ushauri kamili.
Mwandiko tu waonyesha kama ni wasimanziWewe......umejuaje?! Au umeangalia mwandiko!
Why??mna moyo wa nyama kurudiana na x wako...kamwe badani sitorudiana nae .,..kama angekuwa ananiona nina umuhimu kwake asingeniacha angeendelea kubaki na mim sasa sialiniona simfai ..sasa nimrudie wa nin..hakika moyo wangu ni wa chuma SEMA HAPANA KURUDIANA NA ALIYEKUWA MPENZI WAKO..PIGA VITA KURUDIA MATAPISHI ..SAYA NO..SAYA NO TO EX -LOVERS...
Ni kutumia akili....mtu alisepa zake na hujui alipita njia gani....duniani hapa magonjwa kibao....halafu mtu anakuja kukufanya spare time na wewe unakubali...halafu ukute ulishaanzisha mahusiano mapya, unayaharibu kwa mtu aloshindwa kuiona thamani yako....ni upumbavu wa hali ya juu.Kurudiana na mtu aliyekuacha ni ufala wa ajabu,alikuona humfai ,amezungukaaa kwako ndiyo choo cha shimo,kipo tu nje,yeyote anakojoa.
Duh,ufala wa ajabu sana,bora ukatafute. balaa lako jingine.
Mimi huwa namdaharau mwanamke wa hivi.
So alichokutendea hakijakutosha ama?! Sasa kama alishakutenda mkiwa wapenzi na ukaona ni sawa, kinachokufanya wewe uone wivu sasa ni nini while ashakuambia muwe tu friend for benefit?! Huo moyo ungekua Chama cha siasa ungeshaandamana.....we kama upo comfortable kuwa spare tyre vumilia Yote.....subiri atembee na Rafiki ako wa karibu au ndugu yako ndio akili itakukaa sawa mkuu.......mwenzako inaonekana hata hajutii kosa....mtu km huyo muogope sana mkuu...Ni story ndefu hata sitamani kukumbuka but inshort alinicheat bila sababu ya msingi ndio chanzo cha kuachana