Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,567
- 50,634
Heeee wewe..nakugawa bill hakyamama tena😆😆😆Asie na bikira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeee wewe..nakugawa bill hakyamama tena😆😆😆Asie na bikira
Huwa namsikitikia sana mtu anayenunua friji ya mtumba.hivi ni baadhi ya vitu vya mtumba vya kuviacha kabisa.ni hiv hiyo ya mtumba haina gerentii.inaweza waka leo na kesha ikazima na hakuna kwa kuipeleka zaidi ya kwa fundi.pili umeme zinakula sana hizi vitu za mitumba aisee.Wakuu hivi yale mafridge ya mtumba tunayouziwa pale Magomeni traventina na yale ya dukani Kkoo yapi bora hata umeme ukikatika na yapi yanadumu kwa uimara.
Nashukuru mkuuHuwa namsikitikia sana mtu anayenunua friji ya mtumba.hivi ni baadhi ya vitu vya mtumba vya kuviacha kabisa.ni hiv hiyo ya mtumba haina gerentii.inaweza waka leo na kesha ikazima na hakuna kwa kuipeleka zaidi ya kwa fundi.pili umeme zinakula sana hizi vitu za mitumba aisee.
Mafriji ya dukani yapo ya bei rahisi na ya kufaa kulingana na ukubwa.so ushauri wangu wewe nunua mpya.utakaa nayo muda mrefu
Yan ni fake,,we ukanunue Tv na fridge kariakoo utegemee kupata fakeIna maana hizo boss,homebase na Mr UK ni fake
Hatari nikajua zinatoka viwandaniYan ni fake,,we ukanunue Tv na fridge kariakoo utegemee kupata fake
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hapana yale wanatengeneza wachina siyo original wanatumia majina tu ya makampun makubwa kuwapata wateja, frij original kabisa bei ya chini kuanzia laki 8Hatari nikajua zinatoka viwandani
Rafiki zake JpmHapana yale wanatengeneza wachina siyo original wanatumia majina tu ya makampun makubwa kuwapata wateja, frij original kabisa bei ya chini kuanzia laki 8
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Samsung wana fridge nzuri mno nilinunua yangu mwaka 2015 mpka leo haijawahi kuharibika chochote kwanza iko na built-in stabilizer.Kwa Ushauri nunua Friji Mpya tena zenye Invetor hizi kwa mwaka mmoja zinatumia umeme wa kuanzia 180,000 mpaka laki tatu tu. na nyingi zimeandikwa units za umeme inazokula kwa mwaka ni kiasi gani na pia nyingi zinahifadhi ubaridi hadi masaa 8 mfano Samsung.
mitumba mingi ni ya aina ya zamani ambapo Compresor zake zinabugia umeme mwingi sana,pia nyingi pipe zake zimesha choka maana ni za zaidi ya miaka 15 na zaidi.so tegemea kuharibika mara kwa mara.
Mimi mzee wangu alinunuaga friji lakawaida milango miwili kwa sh 300,000tena waliletewa kutoka kiwandani Korea na mwajir wao bila kulipa kod yoyote mwaka 2000, je Sasa hiv uangize friji kutoka kiwandan mpaka bongo kwa kod za Sasa si utalinunua kwa 800000Hatari nikajua zinatoka viwandani
Huu ushauri murua kabisa. Kila mtu auone na aufanyie kaziKitu chochote cha umeme nunua kipya uleasss huna uwezo huo kama upo fanya hivyo.
Utanishukuru baadae
Kitu kipya ni kipya ufanisi wake ni asilimia kubwa,kuriko ambacho kimeishstumika,Wakuu hivi yale mafridge ya mtumba tunayouziwa pale Magomeni traventina na yale ya dukani Kkoo yapi bora hata umeme ukikatika na yapi yanadumu kwa uimara.
😄😄 samahani nilikua nachomekea tu ,Heeee wewe..nakugawa bill hakyamama tena😆😆😆
Unakosaje freezer home kwako kwa mfanoFreezer kwa matumizi ya home Dah sijawahi kuona
Bidhaa za sasa za boss ni feki mnoo ..Ukija kwa Mr Uk , Aborder hawa bidhaa zao hazina viwango kabisa ...yan havina Manisha marefu vinawai kufaIna maana hizo boss,homebase na Mr UK ni fake
Kwahiyo ndo umeamua kunipiga kamba si ndio😅😅fresh😄😄 samahani nilikua nachomekea tu ,
kamba gani tena mamaKwahiyo ndo umeamua kunipiga kamba si ndio😅😅fresh
vipi kuhusu Hisense na LG??Bidhaa za sasa za boss ni feki mnoo ..Ukija kwa Mr Uk , Aborder hawa bidhaa zao hazina viwango kabisa ...yan havina Manisha marefu vinawai kufa
asiye na bikra ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤kamba gani tena mama
Friji jipya linadumu sana,Mimi nilinunua friji aina ya Boss huu mwaka wa 6 hakuna cha fundi wala nini!Huwa namsikitikia sana mtu anayenunua friji ya mtumba.hivi ni baadhi ya vitu vya mtumba vya kuviacha kabisa.ni hiv hiyo ya mtumba haina gerentii.inaweza waka leo na kesha ikazima na hakuna kwa kuipeleka zaidi ya kwa fundi.pili umeme zinakula sana hizi vitu za mitumba aisee.
Mafriji ya dukani yapo ya bei rahisi na ya kufaa kulingana na ukubwa.so ushauri wangu wewe nunua mpya.utakaa nayo muda mrefu