Fridge la mtumba v\s la dukani

Wakuu hivi yale mafridge ya mtumba tunayouziwa pale Magomeni traventina na yale ya dukani Kkoo yapi bora hata umeme ukikatika na yapi yanadumu kwa uimara.
Huwa namsikitikia sana mtu anayenunua friji ya mtumba.hivi ni baadhi ya vitu vya mtumba vya kuviacha kabisa.ni hiv hiyo ya mtumba haina gerentii.inaweza waka leo na kesha ikazima na hakuna kwa kuipeleka zaidi ya kwa fundi.pili umeme zinakula sana hizi vitu za mitumba aisee.

Mafriji ya dukani yapo ya bei rahisi na ya kufaa kulingana na ukubwa.so ushauri wangu wewe nunua mpya.utakaa nayo muda mrefu
 
Huwa namsikitikia sana mtu anayenunua friji ya mtumba.hivi ni baadhi ya vitu vya mtumba vya kuviacha kabisa.ni hiv hiyo ya mtumba haina gerentii.inaweza waka leo na kesha ikazima na hakuna kwa kuipeleka zaidi ya kwa fundi.pili umeme zinakula sana hizi vitu za mitumba aisee.

Mafriji ya dukani yapo ya bei rahisi na ya kufaa kulingana na ukubwa.so ushauri wangu wewe nunua mpya.utakaa nayo muda mrefu
Nashukuru mkuu
 
Kwa Ushauri nunua Friji Mpya tena zenye Invetor hizi kwa mwaka mmoja zinatumia umeme wa kuanzia 180,000 mpaka laki tatu tu. na nyingi zimeandikwa units za umeme inazokula kwa mwaka ni kiasi gani na pia nyingi zinahifadhi ubaridi hadi masaa 8 mfano Samsung.
mitumba mingi ni ya aina ya zamani ambapo Compresor zake zinabugia umeme mwingi sana,pia nyingi pipe zake zimesha choka maana ni za zaidi ya miaka 15 na zaidi.so tegemea kuharibika mara kwa mara.
Samsung wana fridge nzuri mno nilinunua yangu mwaka 2015 mpka leo haijawahi kuharibika chochote kwanza iko na built-in stabilizer.

Mtoa mada nakushauri tafuta fridge mpya iwe ya brand yoyote unayopenda ila iwe non frost..pia ucheki na ulaji wake wa umeme.
 
Hatari nikajua zinatoka viwandani
Mimi mzee wangu alinunuaga friji lakawaida milango miwili kwa sh 300,000tena waliletewa kutoka kiwandani Korea na mwajir wao bila kulipa kod yoyote mwaka 2000, je Sasa hiv uangize friji kutoka kiwandan mpaka bongo kwa kod za Sasa si utalinunua kwa 800000

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu hivi yale mafridge ya mtumba tunayouziwa pale Magomeni traventina na yale ya dukani Kkoo yapi bora hata umeme ukikatika na yapi yanadumu kwa uimara.
Kitu kipya ni kipya ufanisi wake ni asilimia kubwa,kuriko ambacho kimeishstumika,
Imani kwamba Cha nyumba ni bora na original kuriko kipya,ni imani potofu,kwani hakuna kinachokuwa mtumba kabla hakijawa kipya,
 
Nakumbuka enzi za TV chogo nilinunua TV za mtumba mara mbili na zote zikaharibika tena ndani ya muda mfupi tu.

Baadae nikajipinda nikafuata kitu hitachi na boxi lake, sasa ni mwaka wa ishirini na nane unaenda ngoma ipo na inapiga kazi....niliitoa stoo nikawapelekea Mafundi waisafishe wakaanza kunisomesha niwauzie lakini sikuwa tayari.

Kwa hivyo vitu vya mitumba ni risk, bora ujikusanye ufuate kitu kipya dukani
 
Huwa namsikitikia sana mtu anayenunua friji ya mtumba.hivi ni baadhi ya vitu vya mtumba vya kuviacha kabisa.ni hiv hiyo ya mtumba haina gerentii.inaweza waka leo na kesha ikazima na hakuna kwa kuipeleka zaidi ya kwa fundi.pili umeme zinakula sana hizi vitu za mitumba aisee.

Mafriji ya dukani yapo ya bei rahisi na ya kufaa kulingana na ukubwa.so ushauri wangu wewe nunua mpya.utakaa nayo muda mrefu
Friji jipya linadumu sana,Mimi nilinunua friji aina ya Boss huu mwaka wa 6 hakuna cha fundi wala nini!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom