sir Ganto G
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 573
- 113
mi niliwahi sikia miaka mingi sana iliyopita huko zenji......longtime.
Mimi toka nimwone na kipini kwenye pua nilishamtoa maana.!!
Ayayayayaaa jamaa kapasuka kishenzi yani anatamka maneno yote ambayo kwa maadili ya Kitanzania ni mwiko kuyatamka hadharani.
Maneno kama wanato***, wanafi****, wase***, ku**..., aisee anahitaji msaada wa malezi na maadili.
nyie ndo mnao tukana hapa....na mnajadili ili iweje?
NYIMBO NYINGI ZA ZAMANI HUPATIKANAWadau polen na corona.
Wakati huu tulipitia hii kitu corona naomba yeyote mwenye wimbo wa Chid Beenz,unaitwa "Chid flooor",kama sjakosea alirekodia studio ya Down town miaka iyooo.
Nimehangaika sana You tube na kwingineko sijaupata.
Sent using Jamii Forums mobile app