Mkuu kwanini unajadili MTU badala ya HOJA aliyoileta?
Chahali yupo sahihi,Mbowe ametelekezwa.
Hayo mengine uliyoandika hayana maana yoyote.
Ni sawa na wewe unavyojiita
Salary Slip
Kwanini usitumie jina lako halisi?
Huyo Mange na yeye Kwanini asije kupambania hapa?