Freemasons ?

Freemasons ?

jafari irigo

Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
16
Reaction score
0
Habarini wana JF.
Naomba kwa wanaofahamu freemason vizuri wanijuze. Katika fikra zangu ninafahamu ni mtandao wa siri .
Mawazo yangu yalibadilika ghafla baada ya kupita katika mji mdogo wa Lamadi wilayani Magu nakukuta matangazo kila kona yaliyoandikwa hivi.
FREEMASONS kwa anayehitaji kujiunga apige namba ( 0766654467) .
Baada ya kuuliza baadhi ya watu waliozipiga walidai njia ni nyeupe garama ni chini ya laki nawe piga.

Sasa leo naomba kuuliza wale wanaofahamu mtandao huo je ni ukweli watu hawa wanajitangaza hivyo?

Je ni kweli watu hao walioweka matangazo wanamalengo mazuri na watu wanaopigia au ni kuwadanganya ili wawale?
 
Habarini wana JF.
Naomba kwa wanaofahamu freemason vizuri wanijuze. Katika fikra zangu ninafahamu ni mtandao wa siri .
Mawazo yangu yalibadilika ghafla baada ya kupita katika mji mdogo wa Lamadi wilayani Magu nakukuta matangazo kila kona yaliyoandikwa hivi.
FREEMASONS kwa anayehitaji kujiunga apige namba ( 0766654467) .
Baada ya kuuliza baadhi ya watu waliozipiga walidai njia ni nyeupe garama ni chini ya laki nawe piga.


Sasa leo naomba kuuliza wale wanaofahamu mtandao huo je ni ukweli watu hawa wanajitangaza hivyo?

Je ni kweli watu hao walioweka matangazo wanamalengo mazuri na watu wanaopigia au ni kuwadanganya ili wawale?

Simple ukitajua undani wao you just call them,...halafu nzuri zaidi wamekuewekea number zao,...vip hapo...?
 
Habarini wana JF.
Naomba kwa wanaofahamu freemason vizuri wanijuze. Katika fikra zangu ninafahamu ni mtandao wa siri .
Mawazo yangu yalibadilika ghafla baada ya kupita katika mji mdogo wa Lamadi wilayani Magu nakukuta matangazo kila kona yaliyoandikwa hivi.
FREEMASONS kwa anayehitaji kujiunga apige namba ( 0766654467) .
Baada ya kuuliza baadhi ya watu waliozipiga walidai njia ni nyeupe garama ni chini ya laki nawe piga.

Sasa leo naomba kuuliza wale wanaofahamu mtandao huo je ni ukweli watu hawa wanajitangaza hivyo?

Je ni kweli watu hao walioweka matangazo wanamalengo mazuri na watu wanaopigia au ni kuwadanganya ili wawale?


Mkubwa.........kazi ni kwako na twanga nambari iliyobandikwa na utupe majibu toka huko!
 
mkuu
freemasons ni dini ya siri sana kujiunga kwake labda kuwe na jamaa yako wa karibu akupeleke kwa mkuu wake akutambulishe
huwezi kujiunga freemasons kwa njia ya simu hata njia nyingine kama email hii ni dini ya kishetani kabisa tena ilaaniwe kabisa kuwaza freemasoni ni sawa na mtu aliyepo peponi hao wanaotoa namba za kujiunga ni wahuni tu
 
Habarini wana JF.
Naomba kwa wanaofahamu freemason vizuri wanijuze. Katika fikra zangu ninafahamu ni mtandao wa siri .
Mawazo yangu yalibadilika ghafla baada ya kupita katika mji mdogo wa Lamadi wilayani Magu nakukuta matangazo kila kona yaliyoandikwa hivi.
FREEMASONS kwa anayehitaji kujiunga apige namba ( 0766654467) .
Baada ya kuuliza baadhi ya watu waliozipiga walidai njia ni nyeupe garama ni chini ya laki nawe piga.

Sasa leo naomba kuuliza wale wanaofahamu mtandao huo je ni ukweli watu hawa wanajitangaza hivyo?

Je ni kweli watu hao walioweka matangazo wanamalengo mazuri na watu wanaopigia au ni kuwadanganya ili wawale?


Achana na hayo mambo ya hovyo uataibiwa, hao ni matapeli tu wa mjini.
 
Freemasons ni Utapeli. Waniajeria wameshawajua wabongo mnavyopenda uchawi, ushirikina, majungu, njia za mkato, ukichanganya na ujinga mnaolishwa na Shigongo kila siku. Kwa hiyo wanawatapeli ki uraisi kwa kuanzisha mtandao feki wa freemasons na kuwatoa hela. Wanawapata zaidi wasanii, wanasiasa, na wafanyabiashara. Freemasons ya kweli ni brotherhood ya matajiri kina Andy Chande, watu wenye uwezo wa kusaidia jamii na sio uvumi wa kina Shigongo.
 
"hii ni dini ya kishetani kabisa tena ilaaniwe kabisa kuwaza freemasoni ni sawa na mtu aliyepo peponi hao wanaotoa namba za kujiunga ni wahuni tu"

Mwanakungumbla, mbona unatuchanganya: unasema HII NI DINI YA KISHETANI TENA ILAANIWE KABISA kisha unasema KUIWAZA FREEMESONS NI SAWA NA MTU ALIYE PEPONI:-
Mbona husomeki wewe? Unajua kweli unachoongea!
 
Back
Top Bottom