Dikteta ameona aibu kuapishwa watu wakiwa rumandeMwenyekiti @ChademaTz na wajumbe wa Kamati Kuu @godbless_lema na @MayorUbungo wameachiwa kwa dhamana muda mchache uliopita.View attachment 1618748
Ni baada ya kutishwa na Marekani, mashetani wakubwa hawa.Wamwachie Zitto Kabwe haraka bila masharti
Shinikizo la nchi wafadhili. Magufuli angependa wakae ndani mp0aka siku atakapotoka madarakani lakini ndiyo hivyo... hana jinsi.Dikteta ameona aibu kuapishwa watu wakiwa rumande
Na diktekta uchwara atakuwa anaghughumia hivyo hivyo lakini hana jinsi. Amebanwa na wafadhili... na bado...Kwa nini? Arrrrgh, ...
Na j2 utamwona kanisani anapokea Sakramenti takatifuShinikizo la nchi wafadhili. Magufuli angependa wakae ndani mp0aka siku atakapotoka madarakani lakini ndiyo hivyo... hana jinsi.
Huyu sasahivi ni dikteta kamili daraja la juuNa diktekta uchwara atakuwa anaghughumia hivyo hivyo lakini hana jinsi. Amebanwa na wafadhili... na bado...
Ningekua mimi ni Mungu yani Magufuli angenitambua!Na j2 utamwona kanisani anapokea Sakramenti takatifu
Sawa
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Ataapishwa Hivi Karibuni, Acheni Kuichafua Sherehe