Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,004
- 54,273
Haya Majizi Hayana Aibu Yaani Yanaharibu NchiSherehe ya wezi wa kura?
Haya Majizi Hayana Aibu Yaani Yanaharibu NchiSherehe ya wezi wa kura?
Madikteta karibu wote wajifanya wacha MUNGUNingekua mimi ni Mungu yani Magufuli angenitambua!
Huwezi ninyanyasia watu wangu kwenye Nchi yao halafu unaniletea unafiki kwenye nyumba yangu ya Ibada. Ningemnyoosha haswa.
Bahati yake mimi siyo Mungu.
Uchunguzi unaendeleaMakosa ya kigaidi yana dhamana?
Ndugu yangu wee. Kweli Mungu anachezewa siku hizi. Tena atakuwa anajifanya mnyenyekevu utadhani ni mtakatifu aliyetoka mbinguni kuja kuleta ujumbe duniani kumbe rohoni ni habari nyingine. Unakiona hata kile kijamaa cha Zanzibar kina mpaka sigda kwa ajili ya swala tano tano lakini inapofika kipindi cha kuua watu ili kitawale hakina hiyana yoyote.Na j2 utamwona kanisani anapokea Sakramenti takatifu
Mtoto wa kike ukiwa hurtless namna hii wala haipendeziKwa nini? Arrrrgh, ...
Aibu sn mkuuNdugu yangu wee. Kweli Mungu anachezewa siku hizi. Tena atakuwa anajifanya mnyenyekevu utadhani ni mtakatifu aliyetoka mbinguni kuja kuleta ujumbe duniani kumbe rohoni ni habari nyingine. Unakiona hata kile kijamaa cha Zanzibar kina mpaka sigda kwa ajili ya swala tano tano lakini inapofika kipindi cha kuua watu ili kitawale hakina hiyana yoyote.
Time will tell, iko saa huyo Mungu atadhihirika tu na Haki itasimama.Madikteta karibu wote wajifanya wacha MUNGU
Cha ajabu Mungu nae anawaacha wanaendelea huku anacheka cheka tu huko mbinguni..He..he..he..he...Madikteta karibu wote wajifanya wacha MUNGU
Aibu kabisa mkuuTime will tell, iko saa huyo Mungu atadhihirika tu na Haki itasimama.
Shetani hajawahi shinda vita yoyote ile tangu ulimwengu kuwepo.
Ila Mbowe Mungu atamlipia tu! utawala huu umemtesa kwanamna zote kana kwamba wao wataishi milele.
Sifa za dikteta ni zipi iviDikteta ameona aibu kuapishwa watu wakiwa rumande
eti walitaka kulipua vituo vya mafuta. aisee watu hawatumii tena akiliWabongo tushafanywa mafala, ugaidi una dhamana? SI walisema watafunguliwa kesi ya ugaidi?
Muulize dingi yakoSifa za dikteta ni zipi ivi
Wamechanganyikiwa mkuueti walitaka kulipua vituo vya mafuta. aisee watu hawatumii tena akili
Ni haki yao kushuhudia rais wao mteule akiapishwa! Serikali anaongozwa na watu waungwana...Ningekua mimi ni Mungu yani Magufuli angenitambua!
Huwezi ninyanyasia watu wangu kwenye Nchi yao halafu unaniletea unafiki kwenye nyumba yangu ya Ibada na huku mikono yako imejaa damu zisizo na Hatia. Ningemnyoosha haswa...
Mwamuachia hawana namnaWamwachie Zitto Kabwe haraka bila masharti
Marekani hawezi itisha nchi yoyote kwenye maswala ya ndani mana mkataba wa mahusiano ya kimataifa na diplomasia havi ruhusu hiyo kituNi baada ya kutishwa na Marekani, mashetani wakubwa hawa.