Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe, Zitto Kabwe, Godbless Lema na Boniface Jacob waachiwa kwa dhamana

Na j2 utamwona kanisani anapokea Sakramenti takatifu
Ndugu yangu wee. Kweli Mungu anachezewa siku hizi. Tena atakuwa anajifanya mnyenyekevu utadhani ni mtakatifu aliyetoka mbinguni kuja kuleta ujumbe duniani kumbe rohoni ni habari nyingine. Unakiona hata kile kijamaa cha Zanzibar kina mpaka sigda kwa ajili ya swala tano tano lakini inapofika kipindi cha kuua watu ili kitawale hakina hiyana yoyote.
 
Ndugu yangu wee. Kweli Mungu anachezewa siku hizi. Tena atakuwa anajifanya mnyenyekevu utadhani ni mtakatifu aliyetoka mbinguni kuja kuleta ujumbe duniani kumbe rohoni ni habari nyingine. Unakiona hata kile kijamaa cha Zanzibar kina mpaka sigda kwa ajili ya swala tano tano lakini inapofika kipindi cha kuua watu ili kitawale hakina hiyana yoyote.
Aibu sn mkuu
 
Ni Tanzania pekee ambapo “makosa ya Ugaidi” unapewa dhamana na polisi wenyewe. Neema hii na inamaanisha hata wale mashekhe wa Uamsho watatoka hivi karibuni😊.

Mambosasa anapaswa kujitafakari na kutumia akili pale anaposhauriwa kutangazia Umma uzwazwa
 
Ningekua mimi ni Mungu yani Magufuli angenitambua!

Huwezi ninyanyasia watu wangu kwenye Nchi yao halafu unaniletea unafiki kwenye nyumba yangu ya Ibada na huku mikono yako imejaa damu zisizo na Hatia. Ningemnyoosha haswa...
Ni haki yao kushuhudia rais wao mteule akiapishwa! Serikali anaongozwa na watu waungwana...
 
Back
Top Bottom