Tetesi: Freeman Mbowe kutimkia CHAUMMA

Hilo linajulikana. Salumu Mwalimu alipoulizwa juu ya Mbowe, alisema kwamba Mbowe ni mwenyekiti wake na ataendelea kuwa mwenyekiti wake. Hofu yangu ni mzee wa Ubwabwa. Awe makini sana wasije wakampumzisha kwa amani, kwa maana jamaa wana uchu wa madaraka.
 
Nataka nikupinge nikakumbuka nilipinga Makonda hawezi kuteuliwa kwa mabaya aliyofanya kipindi cha Magufuli. Naomba tusubiri ahame ndio tuchambue na si kuzusha mambo.
 
Aende kwani ana faida gani?
 

Nani kamzuia🤦🏾‍♂️😂 mbona unajisemesha mwenyewe
 
Mheshimiwa Dr Mboe karibu sana CHAUMMA tule ubwabwa huku tukimnadi mgombea wetu Dr Mwalimu. Ubwabwa safiii.
** Ikibidi zili bilioni nunua nyumba nyingine hata tatu DUBAI. Game haielewek i hii wasije kukufilisi kama ile klabu yako
 
Mheshimiwa Dr Mboe karibu sana CHAUMMA tule ubwabwa huku tukimnadi mgombea wetu Dr Mwalimu. Ubwabwa safiii.
** Ikibidi zili bilioni nunua nyumba nyingine hata tatu DUBAI. Game haielewek i hii wasije kukufilisi kama ile klabu yako
Mbowe ni mfanyabiashara
 
Mheshimiwa Dr Mboe karibu sana CHAUMMA tule ubwabwa huku tukimnadi mgombea wetu Dr Mwalimu. Ubwabwa safiii.
** Ikibidi zili bilioni nunua nyumba nyingine hata tatu DUBAI. Game haielewek i hii wasije kukufilisi kama ile klabu yako
Hii Dr. Mboe ni ya wapi? Mjomba wako? Mbona haijulikani.
 
Mboe Jenna hapa Tz hata uajiri vjana na sio kujenga Dubai
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…