Tetesi: Freeman Mbowe kutimkia CHAUMMA

Hawezi, akifanya hivyo, maana atakuwa ni mwanasiasa wa HOVYO kupata kutokea hapa Tanganyika.
Anaenda halafu dipipii anamuachilia Lisu na Chadema inaingia uchaguzini

Halafu CCM inapita katikati yao 🐼
 
Naona umeileta hii ili ionekane unajua taarifa za ndani. Mbowe yuko Chauma toka siku ameukosa uenyekiti wa cdm. Hapa ulichofanya ni sawa na kusema unatabiri jua kesho litatoka mashariki kwenda magharibi.
 
Aende, ndo democracy na Tz, tumbo kwanza. Ndio maana ccm hata wabunge wana teuliwa na Mwenyekiti wa ccm ili alinde Ugali wake, uliona wapi mwakilishi wa wananchi ana jaza form na kwenda kupitishwa na Rais? Ndio maana ni wabunge lakini hawana uhuru.

Ndio maana tuna hitaji mabadiliko, yaani tubadili mfumo mzima na taratibu za siasa nchini, kwahiyo Chadema inawapigania wana ccm na vyama vingine vyote ili vijikomboe kutoka katika mgumo dhalimu wa watu wachache.
 
Huna akili kweli wewe, yaani mtu aliyekuwa anaongoza chama chenye wanachama zaidi ya milioni 10 leo akaonoze kikundi cha watu wasiozidi 100 unaona hiyo ni busara?
 
HAKUNA CHAMA KISAFI..SIASA NI UTAPELI KAMA UTAPELI MWINGINE..
 
Tatizo tunamdai kwa kutupotezea mda wetu
 
He can't say..... I don't do politics, because silence is a political statement...😶
 
..Nani aliyekusmbia CHADEMA kuwa Wanamtuka Mbowe amehamia CHAUMMA wakati wewe ndio Umeleta tetrsi za kuhamia kwake CHAUMMA? Wewe uko CHAUMMA ee? Hujiamini
Tuko Bize na No Reforms No Election.
Nyii Kali deni Kura !!....
 
Jiulize baada ya Lowasa kuingia chadema Dr Silaa alienda wapi?
Mbowe sio mpinzani wa kweli! Ni mpiga hela tu!
 
Siwezi kuamini wana siasa wa nchi hi hata siku moja.
Sio wa Nchi hii tu, Wanasiasa wote mtaji wao ni Siasa na Siasa "Platform Vehicle" yake ni vyama. Rejea Kenya akina Kilonzo Musyoka na Mudavadi leo unamsikia yupo huku kesho kule. Hapa kwetu hatujazoea hayo kwa kuwa ndani ya vyama hawaparuani sana hivyo kunakuwepo na longetivity ya kuwemo ndani ya vyama.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…