Freeman Mbowe Kutikisa Sherehe za Ruto

Freeman Mbowe Kutikisa Sherehe za Ruto

Masikini Mbowe!

Kila mwaka ni kuhudhuria ushindi wa wenzie tu
 
... Raila alianza kupoteza ushawishi nchini kwake na ukanda wa EA alipoanza kufungamana na dikteta! That was a deadly mistake; pole kwake. Akina Prof. Lumumba na falsafa uchwara za magufulication nao kwisha habari.
 
Pia kama yuko humu namwomba awe makini kama alikotoka ili aweze kuitimiza ndoto yake kwa Watanzania .
Sio mwaliko ni wa upendo mingine ni mikakati tusioijua kwa macho ya kawaida
 
Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana ka vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
Mbowe namkubali sana huyu Mwamba !! Mtaa wa saba anakwenda nani? baba mwakitozo ama ?
 
Sasa wewe hata akipewa nafasi ya kuongea unazani itaongeza Nini katika chama chake Cha chadema kilichopoteza dira na muelekeo kwa kukosa Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watu? Unazani ndio itafanya CDM kuinuka? Saiz chadema kimebakiwa na watu waliojaa matusi tuu kila baada ya neno ,
 
Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana ka vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
Ngoja tusubirie
 
Sasa wewe hata akipewa nafasi ya kuongea unazani itaongeza Nini katika chama chake Cha chadema kilichopoteza dira na muelekeo kwa kukosa Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watu? Unazani ndio itafanya CDM kuinuka? Saiz chadema kimebakiwa na watu waliojaa matusi tuu kila baada ya neno ,
Hongera kwa kugusa maisha ya Watu kwa Tozo
 
Huko Kenya wala hawajui Mbowe ni raia wa nchi gani, wala hawajui sura na shughuli zake, acheni ku publicize ur own news kwenye gazeti lake Mbowe alafu mnatuletea pumba humu, no one knows Mbowe at all in Kenya, kama hujaelewa, kaelewe huko

Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana ka vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
 
Hongera kwa kugusa maisha ya Watu kwa Tozo
Tozo Ni kwa ajili ya ujenzi wa Taifa letu kwa mikono yetu wenyewe, Tunataka Tanzania ijengwe na sisi watanzania, Hatutaki kila kitu tujenge kwa mikopo hata vile vilivyo ndani ya uwezo wetu
 
Huko Kenya wala hawajui Mbowe ni raia wa nchi gani, wala hawajui sura na shughuli zake, acheni ku publicize ur own news kwenye gazeti lake Mbowe alafu mnatuletea pumba humu, no one knows Mbowe at all in Kenya, kama hujaelewa, kaelewe huko
Pole kwa maumivu
 
Huku bongo republic hatikisi anaenda kutikisika kwa Ruto ila Bongo land what's so important there.
 
Nani aalike takataka hizo?Kenya wako busy na vitu vya msingi
 
Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana la vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
Hata angealikwa kwenye sayari nyingine sawa tu. Twajua neno moja tu kwamba siku alipobadili gia angani ndio siku aliyojimaliza na hatainuka tena.
 
Masikini Mbowe!

Kila mwaka ni kuhudhuria ushindi wa wenzie tu
Sasa yeye na wewe ambaye kila wakati ni kulamba mavi ya wanasiasa nani ni masikini? Kifo cha mungu wako kimekuvuruga kabisa
 
Sasa wewe hata akipewa nafasi ya kuongea unazani itaongeza Nini katika chama chake Cha chadema kilichopoteza dira na muelekeo kwa kukosa Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watu? Unazani ndio itafanya CDM kuinuka? Saiz chadema kimebakiwa na watu waliojaa matusi tuu kila baada ya neno ,
Pole sana mkuu, naona kama unalengwa lengwa na machozi, mwenzako Jiwe alisema anataka kukiua mwisho wa siku yuko wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom