Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,752
- 218,339
Uchaguzi ulishafanyika tangu December 2019Kachukue Fomu ya Uenyekiti wa Chadema...
Hakika kwa ujasiri wake, anastahili kuingia kwenye Guiness World RecordsView attachment 1459189
Taarifa za Kidunia zinaonyesha kwamba huyu ndiye kiongozi wa kisiasa mwenye kuheshimika zaidi duniani kwa sasa , ndiye mwanasiasa anayeongoza kwa siasa za kistaarabu , ni mvumilivu asiye na kisasi hata kwa watesaji wake waliojiapiza hadharani na gizani kumshughulikia.
Huyu ndio Mwanasiasa aliyefirisiwa na kudhulumiwa kuliko yeyote barani Africa , ambapo wote waliosaidia kudhulumiwa kwake ama wamepandishwa cheo au wamefutiwa mashitaka yao ya ufisadi , RC wa Mtwara na Mh Mchechu ni miongoni mwa wanufaikaji wa mateso ya Mbowe , Huyu Mbowe Taarifa mpya zinaonyesha kwamba ndiye mwanasiasa aliyetukanwa zaidi katika historia ya siasa za Tanzania , huyu ametukanwa hata na watu waliokuwa hohehahe aliowaokota majalalani na kuwapa maisha .
Ni mwanasiasa wa kizazi kipya asiyetishwa wala kuyumbishwa na wenye mamlaka , ni miongoni mwa wanasiasa wachache wa Tanzania WANAOFAHAMISHWA MAPEMA JUU YA NJAMA DHIDI YAO , lakini haogopi , hii imejidhihirisha hata alipofungwa jela miezi minne bila hata kuhukumiwa kifungo na Mahakama , ni miongoni mwa Magwiji wa siasa nchini Tanzania na sasa Africa na duniani , wengi wanamfananisha ni kizazi cha akina Nelson Mandela na Kwame Nkurumah .
Hii ni tunu ya Dunia
View attachment 1459193
Kutunga uzushi dhidi ya Mh Mbowe hakutakuondoa kwenye maisha magumu yanayokukabiliHahahaaa!! Mna tofauti gani na CCM wanaomsifu Magufuli kuwa Rais Bora Africa Kama siyo duniani kote?
Kiuhalisia Mbowe Ni mbabe wa kisiasa ndani ya Chama chake, no democracy in Chadema, ila nyie wafuasi wake wa karibu mnaonufaika lazima mtafute namna ya kumfurahisha boss wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sina maisha magumu Kama unavyodhani, sema akili yako Ni ya kipuuzi Sana, unasifu mpaka kiwango kisichomithilika.Kutunga uzushi dhidi ya Mh Mbowe hakutakuondoa kwenye maisha magumu yanayokukabili
Ungeanza kwanza Wewe kutangaza nia ya kugombea urais.Kachukue Fomu ya Uenyekiti wa Chadema...
Karibu sanaHah hah hah hah sio kwa kupaka ranging huko.
Mkuu asante kwa kutujuza.
Kama alizomewa na wapiga kura wake unadiriki kusifia uongo? Kama alikopesha Chadema deni la uongo mpaka sasa analipwa mil 50 kila mwezi unamfananisha na akina Nkurumah! Labda umemix mbege na K vant.View attachment 1459189
Taarifa za Kidunia zinaonyesha kwamba huyu ndiye kiongozi wa kisiasa mwenye kuheshimika zaidi duniani kwa sasa , ndiye mwanasiasa anayeongoza kwa siasa za kistaarabu , ni mvumilivu asiye na kisasi hata kwa watesaji wake waliojiapiza hadharani na gizani kumshughulikia.
Huyu ndio Mwanasiasa aliyefirisiwa na kudhulumiwa kuliko yeyote barani Africa , ambapo wote waliosaidia kudhulumiwa kwake ama wamepandishwa cheo au wamefutiwa mashitaka yao ya ufisadi , RC wa Mtwara na Mh Mchechu ni miongoni mwa wanufaikaji wa mateso ya Mbowe , Huyu Mbowe Taarifa mpya zinaonyesha kwamba ndiye mwanasiasa aliyetukanwa zaidi katika historia ya siasa za Tanzania , huyu ametukanwa hata na watu waliokuwa hohehahe aliowaokota majalalani na kuwapa maisha akiwemo Mwita Waitara aliyeokotwa na Chadema baada ya kukimbia UVCCM alikopangiwa kuwa mpika chai wa Nchimbi aliyekuwa mwenyekiti wa UVCCM Taifa ( hii ni kwa mujibu wa kauli ya Waitara mwenyewe )
Ni mwanasiasa wa kizazi kipya asiyetishwa wala kuyumbishwa na wenye mamlaka , ni miongoni mwa wanasiasa wachache wa Tanzania WANAOFAHAMISHWA MAPEMA JUU YA NJAMA DHIDI YAO , lakini haogopi , hii imejidhihirisha hata alipofungwa jela miezi minne bila hata kuhukumiwa kifungo na Mahakama , ni miongoni mwa Magwiji wa siasa nchini Tanzania na sasa Africa na duniani , wengi wanamfananisha na kizazi cha akina Nelson Mandela na Kwame Nkurumah .
Hii ni tunu ya Dunia
View attachment 1459193
Mkuu karibu sanaKama alizomewa na wapiga kura wake unadiriki kusifia uongo? Kama alikopesha Chadema deni la uongo mpaka sasa analipwa mil 50 kila mwezi unamfananisha na akina Nkurumah! Labda umemix mbege na K vant.
Wapi?Mkuu karibu sana
chademaWapi?
We unaumwa ugonjwa wa akili? Yaani chama ambacho hata hakijashika dola mnaanza ufisadi namna hiyo. Je mkipewa nchi mtajenga hata barabara?chadema
Kwa wenzio walokaukiwa hoja na sasa wanajifariji kwa kuimba na kucheza tungo na ngoma za kishetaniWapi?
Mh... Mbege + k vant maana sikuelewi.Kwa wenzio walokaukiwa hoja na sasa wanajifariji kwa kuimba na kucheza tungo na ngoma za kishetani