Freeman Mbowe amepooza sana katika siasa, makali yake yameisha?

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,634
46,276
Ile haiba ya Freeman Mbowe ya mwanasiasa machachari na makeke mengi imebadilika sana, bila shaka itakuwa amepatwa na uchovu wa harakati za muda mrefu sana za siasa za mikikimikiki.

Mbowe wa sasa hivi amekuwa na haiba ya mzee wa kanisa au askofu fulani zaidi kuliko kiongozi mkuu wa upinzani. Habari zake zinazosikika zaidi na za kanisani kuliko jukwaa la siasa! Amekuwa babu wa busara.

CHADEMA anzeni kujipanga kuandaa mwenyekiti mwingine wa kumrithi, bila shaka Mbowe atahusika kikamilifu na kuongoza hayo mabadiliko.
 
Ile haiba ya Freeman Mbowe ya mwanasiasa machachari na makeke mengi imebadilika sana, bila shaka itakuwa amepatwa na uchovu wa harakati za muda mrefu sana za siasa za mikikimikiki.

Mbowe wa sasa hivi amekuwa na haiba ya mzee wa kanisa au askofu fulani zaidi. Habari zake zinazosikika zaidi na za kanisani kuliko jukwaa la siasa! Amekuwa babu wa busara.

CHADEMA anzeni kujipanga kuandaa mwenyekiti mwingine wa kumrithi, bila shaka Mbowe atahusika kikamilifu na kuongoza hayo mabadiliko.
Sijawahi kuiona haiba ya mbowe kisiasa. Never.

Nilikuwa namuona anafokafoka tu na kuufanya mdomo kama nananihii ya kuku aliyetoka kutaga.

1704437680020.png
 
Ile haiba ya Freeman Mbowe ya mwanasiasa machachari na makeke mengi imebadilika sana, bila shaka itakuwa amepatwa na uchovu wa harakati za muda mrefu sana za siasa za mikikimikiki.

Mbowe wa sasa hivi amekuwa na haiba ya mzee wa kanisa au askofu fulani zaidi. Habari zake zinazosikika zaidi na za kanisani kuliko jukwaa la siasa! Amekuwa babu wa busara.

CHADEMA anzeni kujipanga kuandaa mwenyekiti mwingine wa kumrithi, bila shaka Mbowe atahusika kikamilifu na kuongoza hayo mabadiliko.
Nusu mkate!

Umemfanya akakiuka agizo la kupigania katiba mpya!

Ametukosea sisi jamhuri!

Tutamnyoosha,Dola haibagazwi hata siku Moja!!

Hatuwezi sema kstiba iandikwe 2022,nyie mnagawana mkate kwa katiba iliyopo!!

Ngoja mtaona!
 
  • Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
  • Palipo na udhia, penyeza rupia
  • Hautakiwi kuongea wakati wa kula
 
Ile haiba ya Freeman Mbowe ya mwanasiasa machachari na makeke mengi imebadilika sana, bila shaka itakuwa amepatwa na uchovu wa harakati za muda mrefu sana za siasa za mikikimikiki.

Mbowe wa sasa hivi amekuwa na haiba ya mzee wa kanisa au askofu fulani zaidi. Habari zake zinazosikika zaidi na za kanisani kuliko jukwaa la siasa! Amekuwa babu wa busara.

CHADEMA anzeni kujipanga kuandaa mwenyekiti mwingine wa kumrithi, bila shaka Mbowe atahusika kikamilifu na kuongoza hayo mabadiliko.
Tanzania ukiwa mwanasiasa mtetezi wa haki na mtaka mabadiliko ni lazima itafika muda utakata tamaa kwa sababu wananchi wenyewe hawabebeki. Anyways kupigania haki ni kazi ngumu, inayohitaji sacrifice, na inatakiwa usikate tamaa, lakini kwa Bongo ni level nyingine.
 
Mnataka awapambanie majitu majinga na mapumbavu?
Mbona wakati anapata mateso mlikuwa kimyaaa... mnafoka kwenye keyboards.

Mwacheni alambe asali taratiibuuu na kila mtu aangalie familia yake.
 
Ile haiba ya Freeman Mbowe ya mwanasiasa machachari na makeke mengi imebadilika sana, bila shaka itakuwa amepatwa na uchovu wa harakati za muda mrefu sana za siasa za mikikimikiki.

Mbowe wa sasa hivi amekuwa na haiba ya mzee wa kanisa au askofu fulani zaidi. Habari zake zinazosikika zaidi na za kanisani kuliko jukwaa la siasa! Amekuwa babu wa busara.

CHADEMA anzeni kujipanga kuandaa mwenyekiti mwingine wa kumrithi, bila shaka Mbowe atahusika kikamilifu na kuongoza hayo mabadiliko.
Hicho chama hatutakabidhi chasaka wa kule wanakolima mbegu za mafuta
 
Ile haiba ya Freeman Mbowe ya mwanasiasa machachari na makeke mengi imebadilika sana, bila shaka itakuwa amepatwa na uchovu wa harakati za muda mrefu sana za siasa za mikikimikiki.

Mbowe wa sasa hivi amekuwa na haiba ya mzee wa kanisa au askofu fulani zaidi. Habari zake zinazosikika zaidi na za kanisani kuliko jukwaa la siasa! Amekuwa babu wa busara.

CHADEMA anzeni kujipanga kuandaa mwenyekiti mwingine wa kumrithi, bila shaka Mbowe atahusika kikamilifu na kuongoza hayo mabadiliko.
Acheni kubambikia wapinzani kesi
 
Ile haiba ya Freeman Mbowe ya mwanasiasa machachari na makeke mengi imebadilika sana, bila shaka itakuwa amepatwa na uchovu wa harakati za muda mrefu sana za siasa za mikikimikiki.

Mbowe wa sasa hivi amekuwa na haiba ya mzee wa kanisa au askofu fulani zaidi. Habari zake zinazosikika zaidi na za kanisani kuliko jukwaa la siasa! Amekuwa babu wa busara.

CHADEMA anzeni kujipanga kuandaa mwenyekiti mwingine wa kumrithi, bila shaka Mbowe atahusika kikamilifu na kuongoza hayo mabadiliko.
Hata ungekuwa wewe nadhani ungevuta handbrake kwanza utafakali maisha yako.

Mh Mbowe kapitia misukosuko mikubwa sana kuliko mwanasiasa yeyoye wa upinzani hapa nchini ukimuondoa marehemu Mtikila
 
Back
Top Bottom