mambo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 2,373
- 5,600
Kwa jinsi chadema walivyo na kelele nilijua watapeleka nyumba kabisaMsaada ni msaada.haujarishi ni wa kiasi gan.kuna wa fisiem walipeleka mifuko 50 ya unga.je mifuko hiyo kwa thaman ni sawa na ukubwa wa chama?