Freeman Mbowe: Kauli za Rais Magufuli Kagera hatari

justine lowasa

JF-Expert Member
Aug 30, 2016
727
794
Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani (CHADEMA), ameikosoa hotuba aloitoa Rais Magufuli Mkoani Kagera kwa kusema " Hivi mtu ambae amefiwa, nyumba imebomelewa, hana chakula, hana pesa unakwenda kutoa kauli za kibabe kwamba hutowapa chakula kwakuwa serikali haina shamba! hivyo sio sawasawa"

a.jpg
 
Mbowe sasa kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani TZ anafanya nn kusimamisha hotuba hizi za kipuuzi za Rais?
Mbona hachukua hatua yyt ile na yy analalamika kama sisi tu?
Magufuli anatakiwa ajutie kauli hizi lkn zinapita kimywa kimywa
CHADEMA imekufa aisee!
 
Mbowe sasa kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani TZ anafanya nn kusimamisha hotuba hizi za kipuuzi za Rais?
Mbona hachukua hatua yyt ile na yy analalamika kama sisi tu?
Magufuli anatakiwa ajutie kauli hizi lkn zinapita kimywa kimywa
CHADEMA imekufa aisee!
tatizo la CHADEMA ni Mbowe!
Toa Mbowe,weka Lema au Lissu hapo juu!
Aisee naazisha chama, huu upuuzi wa upinzani hauvumiliki
utakiitaje?Chama cha Posho na Ruzuku=CPR?
Mbowe awaombe upya watanzania,wachangie bati hata katika hali hii ambayo jahazi la tanga haliwezi kwenda kwa kukosa upepo,maana tayari Bukoba ni kambi ya UKAWA.
wazo zuri,hongera mkuu!
 
Yeye na chama chake wamechukua hatua gani?Sukuwasikia hata michango ya chadema ikiwasilishwa.....this is bullshit.Kutafuta kiki kwenye hotuba ya Raisi hakuna maana yoyote.Yeye angechukua hatua ya kwenda kuwafariji na kuwajengea anachoweza ndio aje kupiga kelele....Mbowe hana nyimbo tena.Chama chake si kina ruzuku kubwa tu ....mbona hawajajenga hata nyumba moja....Je si wana mishahara wangejichanga tu kwa vile wana uchungu mkubwa zaidi kuliko Raisi.Otherwise pye pye pye hazina maana
 
SIKU HIZI AITISHI PRESS CONFERENCE??????hii kauli yake juu ya JPM alitamkia wapi???? Me nahisi aliitamkia UVUNGUNI mwa kitanda MAANA tunamtafuta kweli atuambie BEN yupo wapi?????hivyo moja kwa moja HAWEZI KAMWE ITISHA press conference kwa sasa ATAKUWA anatolea MATAMKO toka UVUNGUNI......daaah aiseeh hii si CHADEMA tuliokuwa tunaifahamu.....JPM wewe balaaa NA KWA SASA NA BAADAE MBOWE HANA UHALALI WOTE WA KUMKOSOA MAGUFULI maana yeye kaishajionyesha rangi yake HALISI kupitia UTAWALA HUU....
 
SIKU HIZI AITISHI PRESS CONFERENCE??????hii kauli yake juu ya JPM alitamkia wapi???? Me nahisi aliitamkia UVUNGUNI mwa kitanda MAANA tunamtafuta kweli atuambie BEN yupo wapi?????hivyo moja kwa moja HAWEZI KAMWE ITISHA press conference kwa sasa ATAKUWA anatolea MATAMKO toka UVUNGUNI......daaah aiseeh hii si CHADEMA tuliokuwa tunaifahamu.....JPM wewe balaaa
Hata atolee uvunguni lakini kauli moja tu imewakurupusha wote wa Lumumba, leo watajazana hapa.
 
Hivi hawa chadema hawana hela, wanachama na hawajuani na watu ambao wangeweza kuwasaidia kuwajengea wananchi. Janga kamanhili wangelitumia kama uwanja wa kujiimarisha kisiasa kwa kuwasaidia wananchi baada ya kufokewa na Rais na kupoteza matumaini ya kusaidiwa na serikali.

Wangeanza hata na nyumba chache na kuzifikisha hatua nzuri nadhani wangejijengea heshima, huku kuongea kwenye vyombo vya habari kupinga kila kitu kinachosemwa ama kufanywa na serikali hakuna chochote kinachosaidia, tumeshachoka saxa tunataka kuona upinzani wenye meno. Upinzani unaoweza kuiwajibisha serikali pale inapokosea kwa vitendo.
 
tatizo la CHADEMA ni Mbowe!
Toa Mbowe,weka Lema au Lissu hapo juu!

utakiitaje?Chama cha Posho na Ruzuku=CPR?

wazo zuri,hongera mkuu!
Mbowe msaada wake uliwasilishwa na Lowassa kwa kutoa mifuko 400 ya saruji kwa ajili ya kuboresha miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko
Yeye na chama chake wamechukua hatua gani?Sukuwasikia hata michango ya chadema ikiwasilishwa.....this is bullshit.Kutafuta kiki kwenye hotuba ya Raisi hakuna maana yoyote.Yeye angechukua hatua ya kwenda kuwafariji na kuwajengea anachoweza ndio aje kupiga kelele....Mbowe hana nyimbo tena.Chama chake si kina ruzuku kubwa tu ....mbona hawajajenga hata nyumba moja....Je si wana mishahara wangejichanga tu kwa vile wana uchungu mkubwa zaidi kuliko Raisi.Otherwise pye pye pye hazina maana
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom