Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,758
- 218,375
Hii hapa
Haifunguki attach tena
kwanini inafungwa na kwanini uzi uachwe ? fungeni uzi wote
Ujumbe tumeupata.
Barua imetumwa kwa Nabii. Ngoja tuone.kwanini inafungwa na kwanini uzi uachwe ? fungeni uzi wote
Acha ibaki hivyo hivyo... Tuna kazi nayo!kwanini inafungwa na kwanini uzi uachwe ? fungeni uzi wote
Anaita wenzake wajinga wakati alilamba zero ),,leo mlevi aliyekubuhu na mzinzi anataka ukombozi wa kiroho kweli jela sio mchezo
Yaani hawa jamaa dahWazee wa kudea kuspik openly wameifunga
Masikini wanawaza ngono tu , na ndio maana kila kapuku ana watoto zaidi ya 10Barua uliyomwandikia mke wako imevuja!
Mimi: Jaman ipi?
Hii Hapa: "Nakupenda mke wangu, Leo niandalie pweza na vaa Nguo nyepesi ya Mahaba"
Mimi: Ebo, si wangenambia tu nipost mwenyewe Facebook waondoka tunavyopendana na me wangu!
Mbowe ndio nguzo ya amani hiyo unayodhani unailinda kwa kumsingizia ugaidi , huyo mwamba akikohoa tu kwamba kinuke jua Tanzania imekwishaabakie huko huko gerezani.
mchafuzi wa amani yetu hatumtaki huku uraiani.
alitumia vibaya uenyekiti wake kwa kuandaa majambazi, wahuni, wavuta bangi, wauzaji, wajeuri, wahalifu wa kila aina