Freeman Mbowe afikishwa kortini

Freeman Mbowe afikishwa kortini

Kuna watu wanafikiri hili suala bado liko kwenye level ya ushabiki wa kisiasa,tena wa kikundi kidogo cha watu.Watawala wana muda mchache wa kufanya maamuzi makini,otherwise Tanganyika mpya itazaliwa muda mfupi ujao,kabla ya kusherekea miaka '50' ya uhuru wa TZ bara!

Kama jana isingekuwa busara ya viongozi wa Chadema tungekuwa tunaongea habari nyingine leo hii, subirini watu watashangaa na watu kama Kishongo, Mzee na wengine wajiandalie ukimbizi maana wanajulikana sana
 
Matusi hayasaidii, jenga hoja kistaarabu.

Unalazimisha watu wote wakubaliane na msimamo wa kipuuzi wa viongozi wa chama chako uchwara?

Not me.

hatuongelei chama hapa tunaongelea jamii nzima ya kitanzania,hivi wewe huna akili na kusikia pia husikii? ila sishangai umezoea kukremu poleeeeeeeeeeeeee
 
Matusi hayasaidii, jenga hoja kistaarabu.

Unalazimisha watu wote wakubaliane na msimamo wa kipuuzi wa viongozi wa chama chako uchwara?

Not me.
Ndugu,
Nyinyi wa chama kingine ndo mmeanza kejeli ndo maana wao nao sasa wanatoa matusi. Kwanza anza kwa kujenga hoja. Sisi watu wengine tunafuatlia kwa makini kila thread hapa na tunaona jinsi ccm na cdm wanavyojibizana humu haisaidii hata kidogo. Wote mmkoswa busara na uzalendo.
Wote mmesahau jinsi watanzania wanavyoteseka na hali ngumu ya maisha both vijijini na mjini just because of siasa chafu na ucommunist ndani ya uongozi wa ccm. Tafadhali shikilia msimamo wako wa uccm lakini tetea haki ya waananchi kupata huduma bora ya maji, hospitali, barabara, huduma nzuri maofisini , shule nzuri nk kwa kupitia kodi halali ya rasilmali yetu.
Kila mtu anapenda amani lakini pale unyanyasaji na mateso ukizidi kisaikolojia mtu yeyote anaweza akafanya lolote il mradi afikishe ujumbe kwa wanaohusika. Sasa tukiendelea kushabikia tu ilikuonekana eti akina fulani wanaweza na akina fulani hawawezi it is nonesense.
Upende usipende mabadiliko ni lazima, ndo maana hata ndani ya chama changu cha ccm kuna conflict kubwa kwa sababu ya mabadiliko hayo. Tumeshindwa kukontrol mambo kila kukicha siri nyingi zinatoka kwa sababu ya tulijaribu kuistructure ccm mwaka 2006. tulikubali mabadiliko ndani ya ccm.
Vivyo hivyo naomba tukubali kuwa kuna makosa ndani ya serikali yetu katika kudhibiti upinzani. Kwa hali ya sasa upinzani hauwezi kudhitiwa kwa polisi na kukamatwa hovyo hovyo kwa viongozi wao bali kwa kukaa na wapinzani na kusikiliza hoja zao. Serikali yetu haijawahi kukaa na wapinzani kwa ajili ya kushauriana bali huwaita vyama uchwara. Na hapa ndiko kuna matatizo.
Mimi nimeshauri tu.
 
Wewe Kishoga huna akili kabisa, unamuona Lema na Mbowe ni waalifu kwa kupigania haki na Uhuru wa Watanzania? Inamaana unakubaliana na wizi wenu na chama chako?
 
Mkubwa!!!!!!!!!! Nakwambia ya kwamba tuna mizigo humu jamvini na siyo watu na akili zao kweli,,,,,,,,,,,,,,,,nasema hivyo kwa sababu ya baadhi ya wanaJF wanaokusudia kutoa michango ya mawazo na utafikiri hawana vichwa na wanatumia masaburi yao.
 
Wampeleke fasta mahabusu Kisongo aungane na wahalifu wenzake kina Lema.

Akipewa dhamana atasababisha uvunjifu wa amani. Uhuni waliofanya NMC unatosha.


Anacheza na nguvu za dola?... Imekula kwake sasa.

Uko chooni nini? naona una speed kali sana angalia usije pasuka masaburi.
 
Wote waliohusika na fujo watafikishwa mahakamani ikiwa ni pamoja na DJ Freeman Mbowe. Poilisi iliweka wazi kabisa kuwa inamtafuta na yeye aliruka ukuta na kukimbia. Amejisalimisha mwenyewe Polisi na atafikishwa mahakamani kwali Polisi kazi yake ni kumkamata tu, lakini hukumu ataipata mahakani. Hakuna cha ajabu hapo.

Kama hakua na hatia kwanini aliruka ukuta na kukimbia.

Hukutoshelezwa? Muone Nape
 
Wote waliohusika na fujo watafikishwa mahakamani ikiwa ni pamoja na DJ Freeman Mbowe. Poilisi iliweka wazi kabisa kuwa inamtafuta na yeye aliruka ukuta na kukimbia. Amejisalimisha mwenyewe Polisi na atafikishwa mahakamani kwali Polisi kazi yake ni kumkamata tu, lakini hukumu ataipata mahakani. Hakuna cha ajabu hapo.

Kama hakua na hatia kwanini aliruka ukuta na kukimbia.


Hivi viwanja vya NMC siku hizi pana ukuta.....NASIKIA HATA JIJI LA DSM LIMEZUNGUSHIWA UKUTA KAMA JERUSALEM YA KALE!
 
wakuu.., nimesikia muda mfupi uliopita kuwa kamanda wa anga.,mh freeman mbowe amefikishwa mahakamani.mlioko a town mtujuze.
Source: Super mix east africa radio(michael barut na zembwelai)

naomba waliopo arusha mwambien nampongeza na wimbo wa ""kwetu kuzuri""" wa christ ambassadors asiogope huko jela ndio kwetu wote asikilize christ ambassadors mungu atampa nguvu
 
tanzania kwa kupenda sifa
kanumba anajifanisha na denzel Washington
Arusha inafananishwa na geneva saa hivi imekuwa bengazi
Lema anafananishwa na mandela
 
Matusi hayasaidii, jenga hoja kistaarabu.

Unalazimisha watu wote wakubaliane na msimamo wa kipuuzi wa viongozi wa chama chako uchwara?

Not me.
Jiulize: Umeitendea nini Tanzania katika Miaka 50 ya Uhuru wake!
Wakati unataka tujiulize tumeifanyia nini Tanzania kwa miaka 50,wewe unatakiwa ujiulize pia umeiibia Tanzania kiasi gani katika ya miaka 50 ya uhuru wake,hapo equation ita balance.
 
Vipi, Mwenyekiti wa magwanda kapata dhamana au kakosa au kaikataa na yeye?
 
Ndugu,
Nyinyi wa chama kingine ndo mmeanza kejeli ndo maana wao nao sasa wanatoa matusi. Kwanza anza kwa kujenga hoja. Sisi watu wengine tunafuatlia kwa makini kila thread hapa na tunaona jinsi ccm na cdm wanavyojibizana humu haisaidii hata kidogo. Wote mmkoswa busara na uzalendo.
Wote mmesahau jinsi watanzania wanavyoteseka na hali ngumu ya maisha both vijijini na mjini just because of siasa chafu na ucommunist ndani ya uongozi wa ccm. Tafadhali shikilia msimamo wako wa uccm lakini tetea haki ya waananchi kupata huduma bora ya maji, hospitali, barabara, huduma nzuri maofisini , shule nzuri nk kwa kupitia kodi halali ya rasilmali yetu.
Kila mtu anapenda amani lakini pale unyanyasaji na mateso ukizidi kisaikolojia mtu yeyote anaweza akafanya lolote il mradi afikishe ujumbe kwa wanaohusika. Sasa tukiendelea kushabikia tu ilikuonekana eti akina fulani wanaweza na akina fulani hawawezi it is nonesense.
Upende usipende mabadiliko ni lazima, ndo maana hata ndani ya chama changu cha ccm kuna conflict kubwa kwa sababu ya mabadiliko hayo. Tumeshindwa kukontrol mambo kila kukicha siri nyingi zinatoka kwa sababu ya tulijaribu kuistructure ccm mwaka 2006. tulikubali mabadiliko ndani ya ccm.
Vivyo hivyo naomba tukubali kuwa kuna makosa ndani ya serikali yetu katika kudhibiti upinzani. Kwa hali ya sasa upinzani hauwezi kudhitiwa kwa polisi na kukamatwa hovyo hovyo kwa viongozi wao bali kwa kukaa na wapinzani na kusikiliza hoja zao. Serikali yetu haijawahi kukaa na wapinzani kwa ajili ya kushauriana bali huwaita vyama uchwara. Na hapa ndiko kuna matatizo.
Mimi nimeshauri tu.
Hey!Hi there!
avatar51680_1.gif


Is that yu?Tukutane kule kwa wakubwa basi.Kuna jammbo nataka niku nong'noze...
 
MNAMBOWA
Join Date
17th October 2011
Last Activity
Today 14:50
Avatar


NGUVUMOJA
Senior Member
Mini Statistics
Join Date
1st July 2011
Last Activity
Today 14:27
Avatar


same person magamba
 
Acheni ushabika nyie watu wa CCM au kwasababu mnaishi Masaki,Mikocheni A,Bahari beach na kwingine kote Tanzania maeneo ya uzunguni pamoja na baba zenu waliopo CCM,mnamaisha mazuri,wakati nchi imejaa maskini,mijini na vijijini hakuna hospital,maji safi,shule bora,makazi bora,lishe bora,hakuna ajira,dola ipo juu,mfumuko wa vitu juu,kwa hali hi nyie vibaraka wa CCM mnaotumiwa hamjisikii vibaya nyie mkiishi vizuri wachache kwa kutumia pesa za watoa jasho maskini watanzani,ambao wote ni maskini,ambao huo umaskini unasababisha na serikali yenu dhaifu ya CCM,ambayo imekiri ni legelege ndiyo mana hata ndani ya CCM mnamigogoro mikubwa mkijikosoa nyie wenyewe na serikali yenu! Sasa mnatakiwa muache kuwa mazezeta wa akili,polisi mnawatumia kukandamiza democracy ya kutafuta ukombozi wa Taifa,hawawezi kushinda nguvu ya uma,CCM wanapesa kweli,mafisadi na polisi,ila mkae mkiju CHADEMA wana Mungu anawarinda.
 
jela ni mahali pazuri pa kuishi ikiwa sababu ya kupelekwa huko ni kudai haki,na haki tunayodai itapatikana karibuni tuu na watu wote wanaotuunga mkono na wasio tuunga mkono wataifaidi uhuru wa mtu na utu wa mtanzania ukipewa thamani yake hautabagua wanaotuunga mkono na wasiotuunga mkono

siku inakuja ambapo tanzania itakuwa sehemu nzuri ya kuishi

hakuna kulala mpaka kieleweke
imekaa vizuri kiongozi.time will tell.ukombozi ni lazima.
 
Wampeleke fasta mahabusu Kisongo aungane na wahalifu wenzake kina Lema.

Akipewa dhamana atasababisha uvunjifu wa amani. Uhuni waliofanya NMC unatosha.


Anacheza na nguvu za dola?... Imekula kwake sasa.

Hatuna kinyongo na wale wote wanaounga mkono ufedhuli, manyanyaso, ubadhirifu wa mali za Umma kwasababu ni Watanzania wenzetu wenye njaa lakini wamelazimika kuwaunga mkono mabaradhuli hawa wa CCM ili nao wapate uwezo wa kwenda misalani. Tuna imani kwamba siku si nyingi wataungana nasi pale waajiri wao watakapokosa mashiko na kujikuta wakiikimbia ardhi yao wenyewe, hili litaleta shida kubwa maana wanaotumika leo hawatakuwa na nguvu za kutorokea popote.

Tutabaki nao lakini binafsi sitokuwa na kinyongo nao, matatizo yao na chanzo chake kinajulikana..!
 
Back
Top Bottom