Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,431
Usalama wa Hai uko mashakaniMkuu wa ulinzi na usalama inausiana na nini mbowe kumsalimia mgonjwa!
Siasa ni maisha , Kabudi pamoja na kuzeekea UDSM lakini kuingizwa kwenye siasa akadai kaokotwa jalalani !Hivi wasomi watz hatuna kingine cha kufanya kweli badala ya kushupalia siasa?
Utakuta jitu ni lihitimu chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha uhandisi na teknolojia "coet" haliwez hata kutengeneza kalavat likisha unga unga msosi wa mchana linatafuta kivuli kuongelea siasa/kumlaumu magu.......
Umri haungoji mtu angalieni!!!
So sadView attachment 1177888
Mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe , amefika kwenye Hospitali ya KCMC kumjulia hali Katibu wa Chadema jimbo la Hai ambaye alitekwa na kuvunjwa mguu na mkono na wanaoitwa watu wasiojulikana .
Ikumbukwe kwamba Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Hai ambaye pia ni DC wa Wilaya hiyo , mwenye kashfa ya kuomba rushwa wafanyabiashara anaitwa Ole Sabaya
umeandika utumbo kabisa. Think Big acha kuwa mpumbavu wa kias hiki.Hivi wasomi watz hatuna kingine cha kufanya kweli badala ya kushupalia siasa?
Utakuta jitu ni lihitimu chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha uhandisi na teknolojia "coet" haliwez hata kutengeneza kalavat likisha unga unga msosi wa mchana linatafuta kivuli kuongelea siasa/kumlaumu magu.......
Umri haungoji mtu angalieni!!!
Mdude wa chadema alipolazwa Mbowe hakwenda kumwona .Chadema Ina wenyewe.Akina Mdude mlie tuView attachment 1177888
Mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe , amefika kwenye Hospitali ya KCMC kumjulia hali Katibu wa Chadema jimbo la Hai ambaye alitekwa na kuvunjwa mguu na mkono na wanaoitwa watu wasiojulikana .
Ikumbukwe kwamba Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Hai ambaye pia ni DC wa Wilaya hiyo , mwenye kashfa ya kuomba rushwa wafanyabiashara anaitwa Ole Sabaya
jikite kwenye madaMdude wa chadema alipolazwa Mbowe hakwenda kumwona .Chadema Ina wenyewe.Akina Mdude mlie tu
kibaraka wa mabeberu mafii yako?Okay tumekusikia kibaraka wa mabeberu!
Usalama wa Hai uko mashakani
Hivi wasomi watz hatuna kingine cha kufanya kweli badala ya kushupalia siasa?
Utakuta jitu ni lihitimu chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha uhandisi na teknolojia "coet" haliwez hata kutengeneza kalavat likisha unga unga msosi wa mchana linatafuta kivuli kuongelea siasa/kumlaumu magu.......
Umri haungoji mtu angalieni!!!
Asante! Msalimie mama yako mwambie nimesafiri nitarudi karibuni asijisikie upweke sana. Soon I will be back!kibaraka wa mabeberu mafii yako?
Mbusii wewee!
Mdude wa chadema alipolazwa Mbowe hakwenda kumwona .Chadema Ina wenyewe.Akina Mdude mlie tu
Asante! Msalimie mama yako mwambie nimesafiri nitarudi karibuni asijisikie upweke sana. Soon I will be back!
Huyu mkuu wa ulinzi na usalama ni mtu wa kutiliwa mashakaMkuu wa ulinzi na usalama inausiana na nini mbowe kumsalimia mgonjwa!