Freeman Mbowe afika KCMC kumjulia hali Katibu wa Chadema aliyevunjwa miguu na mikono na wasiojulikana

Hivi wasomi watz hatuna kingine cha kufanya kweli badala ya kushupalia siasa?

Utakuta jitu ni lihitimu chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha uhandisi na teknolojia "coet" haliwez hata kutengeneza kalavat likisha unga unga msosi wa mchana linatafuta kivuli kuongelea siasa/kumlaumu magu.......

Umri haungoji mtu angalieni!!!
Mbona CCM hamuachi siasa?
 
View attachment 1177888

Mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe , amefika kwenye Hospitali ya KCMC kumjulia hali Katibu wa Chadema jimbo la Hai ambaye alitekwa na kuvunjwa mguu na mkono na wanaoitwa watu wasiojulikana .

Ikumbukwe kwamba Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Hai ambaye pia ni DC wa Wilaya hiyo , mwenye kashfa ya kuomba rushwa wafanyabiashara anaitwa Ole Sabaya
Siku iko njiani inakuja mawakala wa hao wasiojulikana wataanza kunyooshwa wakae wakijua hii nchi siyo ya mtu wala ya kikundi flani cha watu bali ni ya watanzania wote. Siku watu watakapo dai haki yao kama walivyofanya kwa mkoloni watakao beba lawama ni wale walifumbia macho visa hivi vya kishetani.
 
View attachment 1177888

Mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe , amefika kwenye Hospitali ya KCMC kumjulia hali Katibu wa Chadema jimbo la Hai ambaye alitekwa na kuvunjwa mguu na mkono na wanaoitwa watu wasiojulikana .

Ikumbukwe kwamba Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Hai ambaye pia ni DC wa Wilaya hiyo , mwenye kashfa ya kuomba rushwa wafanyabiashara anaitwa Ole Sabaya
Mauchungu ya moyoni mwa watu kwasababu ya haya mambo ya kihuni kikatili na kijasusi yanakaribia kufurika. Yajayo wakina Sabaya na wenzie watayapenda.
 
Mat
Mipumbavu kabisa! Kazi kukas kwenye mitandao kulalamika na kuitukana serikali. Waache watanyoka tu!
Matusi, dhihaka na dharau unaofanywa na kikundi dhidi ya wananchi au kundi katika nchi kama mfanyavyo wewe na wenzio ndio iliyoleta mauaji ya kimbari kule Rwanda. Unachofanya hapa ni sawa kabisa na walichofanya waliowaita wenzao Cockroaches.
 
Siku hizi mabazazi hawana tabu,akifumaniwa na mke wa mtu,anamwambia tu mkewe,nimepigwa na wasiojulikana
 
Hahaaa kama Kinana, Nape, Makamba Family, JK et al wanalaumu tena kinyago chao ijekuwa wewe ambaye hujui hata kura zake za maoni alizopata pale Kizota 😂, Bro acha uzwazwa ase wenye kinyago walishasema kimekengeuka.
Tumieni elimu zenu kutatua changamoto zenyu, hao wote ulio wataja walipo pewa nafasi ya kuweka mazingira ya kudhibiti vinyago elimu zao hazikuwafaa badala yake wakatumia matumbomi yao kufanya waliyo yafanya, wacha kinyago chao kiwazinguwe.
 
Mkuu wa ulinzi na usalama inausiana na nini mbowe kumsalimia mgonjwa!
Anajulia hali mgonjwa. Ugonjwa gani? Majeraha. Kavunjwa mkono na mguu. Alitekwa kwanza na watu wasiojulikana. Wakafanya hiyo shughuli. Walitoka wapi? Sio hoja. Huo uharamia umefanyika wapi? Hilo la muhimu. Territorial jurisdiction. Kwenye strong fortress ni salama. Hai sio salama. Kinara wa ulinzi na usalama yuko busy na kitu kidogo. Pengine hakuna haja ya ngome imara kwa wana wa Hai! Wasiojulikana ndio walinzi wa usalama wao. Makusudi naandika hivi. Neno mojamoja. Hata chekechea anashangaa. Mambo wazi kabisa. Lakini kuna binadamu haelewi uhusiano uliopo: kukosa ulinzi> kutekwa> kuvunjwa mguu na mkono> kulazwa hospitalini> kusalimiwa kama mgonjwa. Wahenga walisema kuwa akili ni nywele. Kipara kipya hakina nywele. Akili sio kwa kila mtu. Wengine mmekosa!
 
Hivi wasomi watz hatuna kingine cha kufanya kweli badala ya kushupalia siasa?

Utakuta jitu ni lihitimu chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha uhandisi na teknolojia "coet" haliwez hata kutengeneza kalavat likisha unga unga msosi wa mchana linatafuta kivuli kuongelea siasa/kumlaumu magu.......

Umri haungoji mtu angalieni!!!

Siasa ni Kama maji.. Ukiwa timamu kabisa Huwezi kukwepa siasa.. labda uwe tabularasa!
 
Siku iko njiani inakuja mawakala wa hao wasiojulikana wataanza kunyooshwa wakae wakijua hii nchi siyo ya mtu wala ya kikundi flani cha watu bali ni ya watanzania wote. Siku watu watakapo dai haki yao kama walivyofanya kwa mkoloni watakao beba lawama ni wale walifumbia macho visa hivi vya kishetani.
 
Anajulia hali mgonjwa. Ugonjwa gani? Majeraha. Kavunjwa mkono na mguu. Alitekwa kwanza na watu wasiojulikana. Wakafanya hiyo shughuli. Walitoka wapi? Sio hoja. Huo uharamia umefanyika wapi? Hilo la muhimu. Territorial jurisdiction. Kwenye strong fortress ni salama. Hai sio salama. Kinara wa ulinzi na usalama yuko busy na kitu kidogo. Pengine hakuna haja ya ngome imara kwa wana wa Hai! Wasiojulikana ndio walinzi wa usalama wao. Makusudi naandika hivi. Neno mojamoja. Hata chekechea anashangaa. Mambo wazi kabisa. Lakini kuna binadamu haelewi uhusiano uliopo: kukosa ulinzi> kutekwa> kuvunjwa mguu na mkono> kulazwa hospitalini> kusalimiwa kama mgonjwa. Wahenga walisema kuwa akili ni nywele. Kipara kipya hakina nywele. Akili sio kwa kila mtu. Wengine mmekosa!
 
Hivi wasomi watz hatuna kingine cha kufanya kweli badala ya kushupalia siasa?

Utakuta jitu ni lihitimu chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha uhandisi na teknolojia "coet" haliwez hata kutengeneza kalavat likisha unga unga msosi wa mchana linatafuta kivuli kuongelea siasa/kumlaumu magu.......

Umri haungoji mtu angalieni!!!
Mkuu umenichekesha kinoma
 
Tanzania imeingia kwenye siasa za hovyo kabisa katika uso wa dunia, Yaani unadiriki Kujeruhi, Kunaua, kutesa eti kisa tu mi madaraka?
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom