Free Tanzania - Maandamano 7/7

Free Tanzania - Maandamano 7/7

Screenshot_20260614_110633_Gallery.jpg
 
Join #MariaXSpaces 📍 🇹🇿
View attachment 3608568

Leo #MariaSpaces tunajadili: 7/7 Maandamano nchi nzima - tupo tayari au maneno tu?
Maandamano yametangazwa na madai ni #FreeTunduLissu #Haki za #MO29, #KatibaMpya #SamiaMustGo
Na hadi polisi wameanza kuandamana! Je tuko tayari kwa vitendo au maneno tu? Leo saa 2 uck
View attachment 3608569
#tanzania #FreeTunduLissu #wakeupTanzania #SamiaMustGo #StopAbductionsTz #FreeTunduLissu
Ussenge tu mtu anahimiza maandamano halafu yeye hashiriki.
 
Acha unafiki na kuponza watu Nyangwisi , u aweza kuweka Familia yako front na wewe kutoka font au unajaza maneno watu Jf ?

Mimi sikubaliani na huu utawala na serikali kwa mengi ila siwezi kuwaambia watu na kuwajaza watoke front wakati Mimi siko tayari kujitoa Sadaka kizembe
Nyangwisi tarehe 29 nilitoka na awamu hii natoka pia
 
X @mariastsehai ✍️🇹🇿
🔥


Tusiogope 7/7 #maandamano ni wajibu wetu!
Hongereni Gen Z mmekaba hadi penalti 😅 hawalpumui!
Kumbuka sisi ni wengi kuliko wao!

HK7ohh9b0AAZrEX.jpg

#SamiaMustGo #FreeTunduLissu #KatibaMpya #StopAbductionsTz #wakeuptanzania
 
Naunga mkono maandamano ila nafikiri safari hii wabadilishe mbinu, ile CHOMA CHOMA haijakaa vizuri sana.

Siku zote Waoga ndio huwazika Mashujaa, na Nchi huwa haikombolewi na kundi kubwa la watu.

Kuandamana ni HAKI, na Kutoandamana pia ni HAKI, hivyo tusikatane vidole kwa wale ambao mtajitokeza kuandamana, acheni na wengine watumie haki zao kisawasawa, ndio DEMOKRASIA.

Wote hatuwezi kuwa Majasiri, na vilevile wote hatuwezi kuwa Waoga, kama unajiona ni Muoga basi tuliza mshono na uwaache Majasiri wakupiganie kwa niaba, Usiwakatishe tamaa wala kuwavunja Moyo, Just relax and Enjoy the Show.

Kutaka anayehimiza maandamano nayeye awepo kuandamana ili eti nawewe ndio ujitokeze, huo ni UKONDOO, ni tafsiri kuwa hujui unachofanya ila unafuata mkumbo hivyo ni bora ubakie nyumbani na familia yako, Ujiinga wako utakuokoa.

UOGA pia huwa ni njia ya kujilinda, kama ambavyo Jasiri anapambana na Simba, vilevile hata anayekimbia akilia kwa sauti nae anapambana kwa style yake, Lengo ni moja ila njia ni tofauti.

Kila la kheri kwa wale watakaojitokeza kupambania Taifa letu.

Ukweli usiopingika ni kwamba Tanzania inahitaji UKOMBOZI.

Be a Man, Stay Taliban.
Watu walifikia hatua ya choma choma kwasababu Kuna matukio mengi yaliyo kuwa yanafanywa ya mauaji dhidi ya raia halafu serikali ikawa Ipo kimya huwezi kuwa unaua watu tu hovyo kama unavyo ua sisimizi halafu utegemee watu wasitafute namna ya kujitetea hata siku ,
 
Wewe hutaki kuandamana si ukae kimya. Sisi tunaotaka kuandamana tuache tujadili. Si umeshasema tutakufa sasa unaendelea kujadili nini wakati tunaenda kufa. Tuache tujadili kwa siku chache zilizobaki ili tukafe salama
wewe na maria wote mnajua mnachokifanya kumanina zenu na wote hamtaandamana mnawatia moto vijana innocent wa kitanzania wanadamane Kwa maslahi yenu mikundu yenu wasenge nyie
 
Back
Top Bottom