Hahaha yupo ustaadh NalendwaUstaadhi @naledwa yupo duniani kweli?
Nimeitimiza ndoto yangu
Hahaha, bata langu la ujana silijutii kabisa.Ukasafiri ukaniacha mdogo wako
Hahahahahahaa, hell no, hell no shemeji.Tobaaa. Mwambie basi a-like comment yangu
Siyo wongo,.........Mwenye macho na asome na kuelewa, umeamsha wengi usingizin
Vizuri.I learned in a hard way, sikurudia tena.
Ujana wangu wote nilikuwa nafanya savings zangu na muda wa kula bata nilikuwa nakula mwenyewe bila kujibana.
Nasafiri naenda hata Garden of God, Ruaha National Park au Ngorongoro for a weekend, nikajikuta ninakuwa na afya ya kiakili na kiuchumi. Sikurudia tena kucheza kamali na mabinti wa mujini.
Tuko pamoja mkuu.....Vizuri.
Akuu! "Sijengi gari wala sinunui nyumba" wala kiwanja sijui biashara wala nini. Ukishakuwa na vitu hivi wanaume wazuri wazuri wanajiuliza mara mbili mbili; wewe unakuwa unagombaniwa na marioo hadi wanakwendea kwa vigagula. Mpaka uje umpate mwanaume mnayelingana au anayekuzidi siyo leo na kuoa hutaki na ukitaka kuolewa basi u-pretend kujishusha. Kwa maisha yenye urefu gani?
Ila haka kaujumbe ka Espy kanawafaa wanawake wote wa kike na wa kiume. Kadunia kameharibika haka!
Akuu! "Sijengi gari wala sinunui nyumba" wala kiwanja sijui biashara wala nini. Ukishakuwa na vitu hivi wanaume wazuri wazuri wanajiuliza mara mbili mbili; wewe unakuwa unagombaniwa na marioo hadi wanakwendea kwa vigagula. Mpaka uje umpate mwanaume mnayelingana au anayekuzidi siyo leo na kuoa hutaki na ukitaka kuolewa basi u-pretend kujishusha. Kwa maisha yenye urefu gani?
Ila haka kaujumbe ka Espy kanawafaa wanawake wote wa kike na wa kiume. Kadunia kameharibika haka!
Umbea tu unakusumbuaIkawaje??