Free talk: Mwanamke shtuka!

Ukasafiri ukaniacha mdogo wako
Hahaha, bata langu la ujana silijutii kabisa.
Sikutaka kukimbilia majukumu mpaka pale nilipokaa sawia.
Sasa vijana siku hizi akipata tu 1 or 2 M, baada ya chuo basi anavuta na kademu kake gheto kabisa.
Mimi kuna dogo langu juzi nimelifanyia mnasaha wa nguvu, eti anahudumia vibinti kama yeye ndiyo baba.
 
Akuu! "Sijengi gari wala sinunui nyumba" wala kiwanja sijui biashara wala nini. Ukishakuwa na vitu hivi wanaume wazuri wazuri wanajiuliza mara mbili mbili; wewe unakuwa unagombaniwa na marioo hadi wanakwendea kwa vigagula. Mpaka uje umpate mwanaume mnayelingana au anayekuzidi siyo leo na kuoa hutaki na ukitaka kuolewa basi u-pretend kujishusha. Kwa maisha yenye urefu gani?

Ila haka kaujumbe ka Espy kanawafaa wanawake wote wa kike na wa kiume. Kadunia kameharibika haka!
 
I learned in a hard way, sikurudia tena.
Ujana wangu wote nilikuwa nafanya savings zangu na muda wa kula bata nilikuwa nakula mwenyewe bila kujibana.
Nasafiri naenda hata Garden of God, Ruaha National Park au Ngorongoro for a weekend, nikajikuta ninakuwa na afya ya kiakili na kiuchumi. Sikurudia tena kucheza kamali na mabinti wa mujini.
Vizuri.
 
Kuna wale wake za watu kabisa. Mtu anakaa anapewa kila kitu anaona maisha ndo kayamaliza. Nimeshawahi kuona mmama anaishi kwa aibu baada ya mume wake kufa ambae alikua anampa kila kitu. Hata mwanaume akupe kila kitu usipotafuta chako ipo siku utaumbuka.
 
Akuu! "Sijengi gari wala sinunui nyumba" wala kiwanja sijui biashara wala nini. Ukishakuwa na vitu hivi wanaume wazuri wazuri wanajiuliza mara mbili mbili; wewe unakuwa unagombaniwa na marioo hadi wanakwendea kwa vigagula. Mpaka uje umpate mwanaume mnayelingana au anayekuzidi siyo leo na kuoa hutaki na ukitaka kuolewa basi u-pretend kujishusha. Kwa maisha yenye urefu gani?

Ila haka kaujumbe ka Espy kanawafaa wanawake wote wa kike na wa kiume. Kadunia kameharibika haka!
 
Akuu! "Sijengi gari wala sinunui nyumba" wala kiwanja sijui biashara wala nini. Ukishakuwa na vitu hivi wanaume wazuri wazuri wanajiuliza mara mbili mbili; wewe unakuwa unagombaniwa na marioo hadi wanakwendea kwa vigagula. Mpaka uje umpate mwanaume mnayelingana au anayekuzidi siyo leo na kuoa hutaki na ukitaka kuolewa basi u-pretend kujishusha. Kwa maisha yenye urefu gani?

Ila haka kaujumbe ka Espy kanawafaa wanawake wote wa kike na wa kiume. Kadunia kameharibika haka!

Big sis missed you big, haha eti unaendewa kwa vigagula.
 
Ipo hivi
IMG-20180708-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom