Free talk: Mwanamke shtuka!

Haya mambo unayasema hadharani kabisaa? Yaani mimi mtoto? Biashara zako unafanya kimyakimya hata hunishirikishi
 
Mwanamke ununue kiwanja ni mwanaume gani huyo ambaye hana akili sawa sawa atajenga hapo......labda kununua fenicha za ndani na vikolokolo......nyumba hujengwa na mwanaume ili mkewe aje kuingia na kuisimamia hatimaye kuimiliki....
Kumbe anaimiliki ukishajenga, basi haina haja jenga tu kwenye chake.
 
Hiyo ya kwanza ilikuwa kibwagizo tu, haikuwa mada. Moderator sijui ni Jamii forum ndio wameiweka kama mada kwa kubadili heading.
 

Dada hilo jimbo lina mtu au tunaruhusiwa kugombeamo maana "you have speak my mind" hebu nitafuta kule chumbani tuyajenge
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…