Free talk: Mwanamke shtuka!

Hapa tu ndipo sijapaelewa, nikifanya home ndio Ofisi yangu Kuu....kesho Mola akakuita....nitaanzaje kutafuta Kazi maana huko nje hata sikujui kulivyo na sina Experience nje ya Nyumbani?
Mwanaume akiongea mwanamke unanyamaza na kuitikia tu alaa!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Pesa zenu nazo tamu mnoo kuzitumia jamani, ingebidi wote muwe na pesa na msife kabla yetu ili tuzitumbue weeeeee[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Mwanaume akiongea mwanamke unanyamaza na kuitikia tu alaa!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
No no noo, mwanamke wa ndio hata kama ni hapana, mimi simtaki.
Nataka chalenji but yenye staha na upole.
Sitaki aina ya mwanamke wa kimasai wa kuitikia kila kitu eeeeeee!
Hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…