Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
internet ni sehem unayoweza kupata kila kitu, lakini ukiingia bila kujua unachokihitaji unakuwa kama mtoto wa secondary school anayeenda net kusurf tu emlesli! hajui anatafuta nini yeye anasearch tu bila uelekeo maalumu. asilimia 98 ya images katika mtandao zinaweza kukopiwa! mtu anapoamua kuanzisha site yake anakuwa specific na mahitaji flani ya watu.....sasa wewe muhitaji hata unaposearch lazima uwe na key words ambazo zina represent mahitaji yako.....kama vile free screen server n.k unapokuwa HAUJUI ni picha gani unazohitaji ili watu wakusaidie address inakuwa ni kama kuwasumbua wadau wa JF! Katika internet lazima uwe SPECIFIC. sasa sema picha gani unataka ili usaidiwe