We nae usinitafutie lawama!Daaah kaka vitu vyangu hivi, samahan bro hivi ephen naye ana mzigo nisije jichanganya mkuu
Kaka nawe pambana upate ndugu Yako humu wakukuulizia hata ukitekwaUmekosa cha kupost?
huenda akawa ni Godlisten Malisa ambaye inasemekana amechukuliwa na watu wasiojulikana.Huenda ndio akawa Ema the boy 🫠🫠
Itaongea sana mshamba weweNilisha kuambia kua unachomiliki wewe ni hiyo broken english unayo imwaga hapa,tafuta tiba ya kisaikolojia ili kupunguza athari unazo zipata sasa kutokana na malezi ya hovyo uliyo yapata toka kwa Baba wa kambo,
Ndio maana hata huelewi unacho kiandika hapa,mara hubishani ila unabishana,mara hujibu ila unajibu! wewe debe tupu la JF tafuta shughuli ikukeep busy ili upunguze kushusha vinyuzi vya kijinga jinga hapa.
Mkuu haonekani, mara ya mwisho alikua na mgogoro na ke alie ZAA nae nadhani alidai Binti yake sijui Nini, sa huu ukimya nikadhani labda ke alimsukuma lockupKafanyaje
Huwa napenda sana battles aisee,nafuatiliaWawili hawa wanaopelekeana moto humu ndio watafanya uzi huu uwe mrefu kama kimo cha Unju bin Unuq
Ona sasa yani mara hii watu washa msahau eti min mee hajulikaniHuyo ni nani kwani?
Ndio kwanza namsikia leo kwenye huu uzi.
Siyo kweli angalia uzi wa Ijumaa wa kumurecognize RedblackMkuu haonekani, mara ya mwisho alikua na mgogoro na ke alie ZAA nae nadhani alidai Binti yake sijui Nini, sa huu ukimya nikadhani labda ke alimsukuma lockup
Hata mimi 😅Huwa napenda sana battles aisee,nafuatilia
Kunywa coca mkuu nalipa nimemtafutia cha kumjibu sijapataWewe huwa humfahamu mtu yeyote huku daslamu, baki zako itigi 😆
Huyo nahisi hata smart phone hana Huwa anaenda internet cafe Salio la jero likiisha anaondoka🤣Kumbe huwa nabishana na mshamba tena wa itigi kabisa?
Huenda akawa hata ndio ni Deus VP mpya 😅😅huenda akawa ni Godlisten Malisa ambaye inasemekana amechukuliwa na watu wasiojulikana.
Huyo ni sadist mmoja hivi ambae ego yake bado haijakomaaHuyo nahisi hata smart phone hana Huwa anaenda internet cafe Salio la jero likiisha anaondoka🤣
Si umesema hubishani,sasa mbona umejibu? hujiamini? huna msimamo? au ndio athari za malezi ya baba wa kambo? Kituko cha JF aka Debe tupu.Itaongea sana mshamba wewe
You've nothing tell me mjinga.
Kama nyuzi zangu zinakuumiza ass yako, ni wewe na intolerance yako.
I'll keep on posting na hakuna kitu utafanya. Hakuna neno utakalo ongea au kunipakazia ambalo litanifanya ni back down, or else unazidi kunipa drive. You're just another pig
Samahan simu yangu ina jitype, sorry mkuu🙏We nae usinitafutie lawama!
Naona umejiingiza safi sana,Huyo nahisi hata smart phone hana Huwa anaenda internet cafe Salio la jero likiisha anaondoka🤣
huenda ni akawa ni abdul mtoto wa bwana samiaHuenda akawa hata ndio ni Deus VP mpya 😅😅
Sasa nahisi umesha jua mimi ni unstoppable sio? Utatumia tactics zote ujuazo lakini haiondoi kuwa wewe ni Lishamba, usiye na akili ya ku filter wapi uongee na wa wapi ukae kimyaSi umesema hubishani,sasa mbona umejibu? hujiamini? huna msimamo? au ndio athari za malezi ya baba wa kambo? Kituko cha JF aka Debe tupu.
😅😅 labda ndio Msigwaahuenda ni akawa ni abdul mtoto wa bwana samia