Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)

mgn 1kAAAAASUVORK5CYII=
 
Mkuu feedback hii hapa, ila speed kwangu ni ndogo sana sijui hao wengine wamepateje speed kubwa? kama kuna njia nyingine ya kupata speed kubwa basi nifahamishe. vipi hiyo ya 10,000/? je ina speed? View attachment 114930

Vipi upo mitaa ya Kariakoo ka mm ni nn?maana nikiwa Kimara speed iko poa sana lkn nikija mitaa ya huku majanga mno
Na je server gani unatumia?
Hiyo ya kulipia ziko nyingi hivo server za hii zikizingua speed unaweza jaribu kitu kingine tofauti kama TG au PD?
 
Hakuna sehemu niliyosema sielewi kuConfigure VPN. Ninaweza kuConfigure VPN za halali na za magumashi. Kwa kazi yangu ninayoifanya ninacheza na VPN muda wote.

Kwa sisi ambao ni Cisco Certified popote utakapokwenda sanasana maofisini kwenye kuomba kazi/kuko-Configure networks zao vitu vya kwanza mtu atakavyotaka kuwa na uhakika kama ni kweli unavielewa ni Subnetting na VPN kwasababu ni vitu basic sana kwenye Cisco Certifications. Na in Cisco, mambo yapo practically sana kiasi kwamba hata kwa wale wanaotaka kujifunzia uchochoroni wamewekewa Packet Tracer.

Sikujua kama ni biashara ila hii title yako ipo juu-juu sana na sikupenda ulivyokuwa unawababaisha watu mara nimeifunga kwavile haujaleta feedback mara nilitaka na nyie mpate akili za kutengeneza zenu na kuna mwingine ndiyo nilimuonea huruma kabisa akadai yeye alitoa feedback na bado imegoma.

Huwa sichangiagi kwenye hili Jukwaa siyo kwamba sijui ninajua sana na hauwezi kunidanganya kitu chochote kile kuhusu configuration za networks (zaidi linapokuja kwenye swala la Cisco Routers and Switches) ila ni kwavile kila mtu hawezi kuwa muongeaji wengine inabidi tunyamaze. Ninakumbuka nilichangiaga mara moja kwenye uzi wa Young Master (siku hizi simuoni tena akichangia mara kwa mara kwenye hili jukwaa) alikuwa anaongelea jinsi ya ku-Configure Cisco Router, nilifurahi sana cause ninapenda ku-Configure Cisco Routers and Switches. Ni muda mrefu umepita wa hiyo thread na ninafikiri ilikuwa ni mwaka jana au mwaka huu mwanzoni.

Spot on man...at least he can put a custom VPN config he just edited for people to see if it works or not!!? And the attitude is over the top!
 
Spot on man...at least he can put a custom VPN config he just edited for people to see if it works or not!!? And the attitude is over the top!

Wabongo bwana!kwa hiyo unamaanisha nilikuwa sijui kama inafanya kazi
Nenda http://kajiulize hii blog ya kizushi ilipanda hewani lini na ina wateja wangapi wa Bongo na wanajirei wangapi?
Ukishapata jibu utafahamu kuwa mchezo huu wa kitambo sana na unafikisha mwaka sio mda
 
wakuu hichi kitu mbna kinapiga kazi.. tafuten server zinazosuport udp port 80(chache) then fata kwa uangalifu instructions za mkuu njunwa.. me ilikubali badae ikagma na nimegundua server udp port 80 nyingi za free zpo weak.. nko napigana na tcp server kwa magic sim card!
 
wakuu hichi kitu mbna kinapiga kazi.. tafuten server zinazosuport udp port 80(chache) then fata kwa uangalifu instructions za mkuu njunwa.. me ilikubali badae ikagma na nimegundua server udp port 80 nyingi za free zpo weak.. nko napigana na tcp server kwa magic sim card!

nmefurah kuona mwenzetu umefanikiwa ,me nimejarbu imegoma ,nadhan itakuwa pouwer ka utatupa hints
 
wakuu hichi kitu mbna kinapiga kazi.. tafuten server zinazosuport udp port 80(chache) then fata kwa uangalifu instructions za mkuu njunwa.. me ilikubali badae ikagma na nimegundua server udp port 80 nyingi za free zpo weak.. nko napigana na tcp server kwa magic sim card!

Ubovu wa TCP una makeke yake kidogo maana TCP protocol lazima HTTP headers(free page ya Magic SIM Card) pili lazima uwe na zile proxy zinazofanya kazi(hii sio shida mifano yake ninayo)
199.231.84.53
50.7.98.11 All work with our favorite port
69.195.138.144

Free Pages
199.59.148.82
208.80.152.201

Issue kubwa ni kutafuta TCP 443 ya wahindi afu unabadilisha hizi mambo nilizokupa
Vinginevyo ku-configure mwenyewe ni kazi maana Cisco certified amerudi kuperooz vitabu

Mm hii ya TCP imegoma kabisa maana wanadai network providers wengi hawa-Block hii 443
Nimeijaribu kwenye PD Proxy ikagoma lkn TunnelGuru ili kuwa inakubali enzi zile za HTTP Tunnel ulikuwa unaweka web host na proxy url zako na server una start inaconnect afu unarudi VPT tunnel unachagua TCP afu unaweka Rport 80 afu kitu inakipa Paje alikuwa mtumiaji sana wa hii kitu kwenye ku-update Antivirus na windows
 
mkuu mimi nimefanikiwa kufika hapa hivyo naomba pass
 

Attachments

  • VPN.jpg
    VPN.jpg
    18 KB · Views: 90
sasa passwd na usernem zinaombwa kwenye wall kweli au haujui kuwa hivi ni vitu confidential lazima uje PM

kaka hiyo kitu inatumia servers za xtreamvpn si ndio? hiyo meteor umecustomize tu ryt....... coz hata certificates ni za xtream vpn
 
Baada ya kupata USN na PW wala haikuchukua muda kuconnect. Hongera kwa maujanja haya!

ukiweka screenshot ukasema na Model ya modem unayotumia afu na sehemu ulipozichukulia inapendeza sana
Kama feedback ya Chief-Mkwawa vile inapendeza maana twaweza jifunza kitu mfano mm baada ya chief kuweka kuwa akitumia Dongle yenye 46Mbps anapata speed zaidi ya 1MB/s na mm sasa hivi nataka ninue modem ya 21.6Mbps kuona kama ntaboost speed
 
Nimefuata maelekezo ya tutorial ile ya kwanza kabisa na sikupata tatizo hadi kufikia kwenye Usn na Pw. Baada ya kuweka nikajaribu server karibu zote zinaconnect. Shida ni kwamba nyingine zinakatika kila baada ya dakika fulani, lakini naona hii 46 US Kansas 1 inadumu muda mrefu. Speed nadhani inategemea loc, hapa nilipo naona ni sawa na ile ya PD Proxy niliyokuwa natumia mwanzo. Mimi natumia Express Files kudownload anything I want provided it is there na naona nadunda fresh tu. Ngoja nijaribu kuweka screen shots ya jinsi nilivyofanya, but simply will be following your instructions you provided earlier.
 
ukiweka screenshot ukasema na Model ya modem unayotumia afu na sehemu ulipozichukulia inapendeza sana
Kama feedback ya Chief-Mkwawa vile inapendeza maana twaweza jifunza kitu mfano mm baada ya chief kuweka kuwa akitumia Dongle yenye 46Mbps anapata speed zaidi ya 1MB/s na mm sasa hivi nataka ninue modem ya 21.6Mbps kuona kama ntaboost speed

nakubaliana na chief kwa 100% mana kuna rafiki hapa mtaan anatumia usb dongle huawei 3 zile za uk ya 21Mbps,always yeye yuko around 900KB/s na 1MB/s sometimes mpk 1.6MB/s i mean hashuki 800KB/s.. cha ajabu me ni bahat mbaya kufika hapo na tunakaa jiran kabisa..sasa nimeunganisha picha.
 
wale waliomba passwd ntawacheki baadae maana hapa niko natumia simu ...ukiangalia vizuri tutorial zangu utagundua ninatumia ungenuine windows 7 na 8 at a go lkn leo nimepiga windows 7 loader afu drive zote nimeziwekea passwd Loader ilipo reboot computer wa sasa inaniomba recovery file
 
Wadau kwangu sijafanikiwa kucatch access
inaconnect tu muda wote, inakuwaje..
 

Attachments

  • 1380981259517.jpg
    1380981259517.jpg
    52.1 KB · Views: 116

Similar Discussions

Back
Top Bottom