Sijui niseme ulidandia GARI kwaa mbele afu ushapigwa mzinga naona unagalagala ngoja nije kukupa Fist AID
Uliaanza hauamini lkn ukaamini sasa baada ya kuamini ilibidi utengeneze Configs zako ambazo ni simply copy and Paste ambayo wewe unaita EXTRA SKILLS.... sijui computer unatumia ya nn kama na hilo ujui si utuachie Smart boys kama sisi tuendelee kuzitumia
Tatizo hausomi UPDATES ninazo weka lkn waliosoma Vigezo na Masharti wanaelewa Vizuri lkn kwa kuwa haukusoma Vigezo na masharti as usual yetu yashakukuta tayari
Kwa MSAADA Soma footer yangu ambayo inasema FREE INTERNET OFFER STILL AVAILABLE afu reason ujiulize ni nn maana ya offer?
Kama unamfundisha mwanafunzi lazima umuoneshe mwanafunzi kuwa kupata 100% inawezekana na baada ya hapo umpe mtihani apigane kupata hiyo mia
Atakayesoma comments/replies za hii thread kwanzia mwanzo hadi mwisho ndiye atakayeelewa nilichokisema.
Nilitaka nijionee mimi mwenyewe kwanza ndiyo niandike nilichokiandika ndiyo maana juzi usiku nikakuomba username na password na nilikuwa ninacheka sana ulivyokuwa unawayumbisha hao jamaa hapo juu (Magnifico, Mgeni sijui kama nimeyapatia majina yao na mwenzake) waliokuwa wanakuomba msaada jinsi ya kutengeneza configuration files ukawa unawapiga chenga.
BTW, I'm on CCNP right now na hakuna nisichoelewa kuhusu VPN. Nilianza kufanya hiki unachokifanya leo kipindi ninasoma CCNA pale TechnoBrain baada ya kumaliza masomo yangu pale D.I.T.
Nakumbuka kipindi ninafanya CCNA nilishawahi kuianzishia thread. Ni mwaka jana kama mwezi wa kumi nadhani.
Ninapitia hili jukwaa kila siku na huwa ninapita kimya kimya ninapendaga kumsoma Chief Mkwawa na Nokia yake naishiaga kucheka tu na utetezi wake asiokubaligi kushindwa hata siku moja, nje ya hapo sijawahi kuonaga jipya zaidi ya maelezo ambayo yanakuwa translated from Google.
Labda kidogo somebody Kang ndiyo huwa naona akimsaidia mtu huwa anamueleza kulingana na yeye kama yeye Kang anavyoelewa.
Ni mawazo tu nilitoa mkuu njunwa wamavoko.
Last edited by a moderator: