Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)

duh mgen umemshtukizia fasta kam mm haha
huyo alofanikiwa kuweka configure za metor vpn kwa server za book vpn na wenzake ajitokeze japo kwa pm ntamlipa mimi kwa setting tu,, me situmii hii nataka kuprove ki2 tu.

To prove kama itawork or not.... Ziache the same servers hzo hzo za jamaa ila badili hzo certificates kutoka mayb peoplesVPN afu kafanye ikareplace kwenye hzo za kwenye configurations za msela.. Haiwezi kumalizia connection hata ufanyaje coz different servers different certificates. Kwahyo kutaka kulogin servers za peoplesVPN kupitia meteorVPN certificates ni kitu ambayo haipo hapo... Mayb kuna step imeachwa hapo kuhusu kuandaa certificates pia
 
ndo hvyo mkuu hata mm nawait ,,inakua vyema kama unajishungulisha kwa ki2 ambacho unauhakik kinfany kaz.

Nahisi kuna kitu kimerukwa hapoo.... Me sio kilaza kiivyo aisee!! Na juc a hint kuna VPN ya ELLY ile ya zantel zamani kabla hawajafunga zile port zao kwa watumiaji wa kawaida ambazo bado zinafanyakazi kwenye modem zao za CDMA japo kwa disconnections nyingi sana kuna user-passwords zake zipo nimetoa hata za kule kuleta huku zinashindwa kuconnect, HONESTRY I THINK AM MISSING SMTHNG HERE
 
Duu wabongo kwa kupenda bure aisee wanahangaikaje huko walipo. Hii bure itawatoa jasho watu.
 
Mkuu Njuna biashara yako ya buku ten itadoda sasa.

Mkuu kwa sasa sitegemei sana kuuza VPN nimepata Tenda nyingine ndo maana nikaamua kuwachangamsha wana Tech maana wamenilea mpaka nimekua siwezi danganya
 
Nahisi kuna kitu kimerukwa hapoo.... Me sio kilaza kiivyo aisee!! Na juc a hint kuna VPN ya ELLY ile ya zantel zamani kabla hawajafunga zile port zao kwa watumiaji wa kawaida ambazo bado zinafanyakazi kwenye modem zao za CDMA japo kwa disconnections nyingi sana kuna user-passwords zake zipo nimetoa hata za kule kuleta huku zinashindwa kuconnect, HONESTRY I THINK AM MISSING SMTHNG HERE

Tatizo ni kwamba mmekosa TRUST na mm yaani hamniamini nikisemacho naniwaelekezacho
Hakuna mtu kilaza nimewapa ushauri wa BURE someni blog za wahindi mtacome out na good results na wala hakuna atakayefanikiwa akamwambia mwenzake maana ataogopa watu wengi kutumia server yake afu ikawa na Poor perfomance kama mi server ya Torrent ya Pd proxy kila uki-connect inakwambia server is FULL.

Ngoja nimalizie kwahudumia wa usernem na passwd ntaziedit afu ntaziwekea survey ili wachache wanaojishughulisha waweze kupata kitu yao
Mm nime-edit moja tu ndo huwa natumia sina presha wala nn
 
Tatizo ni kwamba mmekosa TRUST na mm yaani hamniamini nikisemacho naniwaelekezacho
Hakuna mtu kilaza nimewapa ushauri wa BURE someni blog za wahindi mtacome out na good results na wala hakuna atakayefanikiwa akamwambia mwenzake maana ataogopa watu wengi kutumia server yake afu ikawa na Poor perfomance kama mi server ya Torrent ya Pd proxy kila uki-connect inakwambia server is FULL.

Ngoja nimalizie kwahudumia wa usernem na passwd ntaziedit afu ntaziwekea survey ili wachache wanaojishughulisha waweze kupata kitu yao
Mm nime-edit moja tu ndo huwa natumia sina presha wala nn

Trust is usually earned kaka....!! Kuna watu wangetoa haya maelezo uliyoyatoa humu ningewaamini sana 100%, ila it is easy tengeneza server moja ya kutoka any of thse VPN ulizotaja hapo juu ukiacha MeteorVPN, coz unasema itazidiwa itakuwa of no use obvious bt itakuwa a living proof kuwa yo right we are just lazy. Ingawa ishu ya kuzidiwa nadoubt kidogo not longtime ago wakati ule mtandao wa Zanzibar port yao ikowazi kaka Elly aliweka EllyVPN it was completely free, hakuna siku server zao zilikuwa zinazidiwa.... Sidhani kama wanajamii forum wanaweza wakaifanya server yoyote iwefull kwakweli, Tupo wachache mno mbona.
 
Tatizo ni kwamba mmekosa TRUST na mm yaani hamniamini nikisemacho naniwaelekezacho
Hakuna mtu kilaza nimewapa ushauri wa BURE someni blog za wahindi mtacome out na good results na wala hakuna atakayefanikiwa akamwambia mwenzake maana ataogopa watu wengi kutumia server yake afu ikawa na Poor perfomance kama mi server ya Torrent ya Pd proxy kila uki-connect inakwambia server is FULL.

Ngoja nimalizie kwahudumia wa usernem na passwd ntaziedit afu ntaziwekea survey ili wachache wanaojishughulisha waweze kupata kitu yao
Mm nime-edit moja tu ndo huwa natumia sina presha wala nn

Mkuu nimeku-pm naona password leo imegoma, inakuwaje?
 
Mkuu waeleze wa simu umefanya Vipi?
process ni zile zile kama ulizotoa wewe ila kwenye configuration nimejaribu ikagoma ikabidi niedit kwa kuchukua server kutoka kwenye zile config za computer na kuzireplace kwenye hizi za simu nilipojaribu ika connect japo ina jidisconnect kila baada ya dakika kama 3
 
process ni zile zile kama ulizotoa wewe ila kwenye configuration nimejaribu ikagoma ikabidi niedit kwa kuchukua server kutoka kwenye zile config za computer na kuzireplace kwenye hizi za simu nilipojaribu ika connect japo ina jidisconnect kila baada ya dakika kama 3


Mkuu hizi password zina time limit? Mimi imenigomea baada ya siku 2 tu.
 
hivi ndivyo ilivyokuwa
 

Attachments

  • Capture.JPG
    Capture.JPG
    37.9 KB · Views: 50
process ni zile zile kama ulizotoa wewe ila kwenye configuration nimejaribu ikagoma ikabidi niedit kwa kuchukua server kutoka kwenye zile config za computer na kuzireplace kwenye hizi za simu nilipojaribu ika connect japo ina jidisconnect kila baada ya dakika kama 3

ingekuwa computer ungeadd string ya passwords ndani ya hzo configurations..... the unaiweka password yako na username kunakuwa na no need to to login again..

mfano, hzo server zipo hivi kwenye string yake... auth-user-pass
wewe una ongeza inakuwa auth-user-pass password.txt kwenye folder la config unacreate .text document yenye jina passwords.text humo ndani unaandika :
username yako
password yako
mfano;
mgeni3
kbt342

Check kama unaweza ukaedit hizo configurations, ili isikuchoshe
HATA wale ambao bado passwords zao na username hazijafikia download limit wanaweza kufanya hivyo kuepusha kulogin again and again
 
ingekuwa computer ungeadd string ya passwords ndani ya hzo configurations..... the unaiweka password yako na username kunakuwa na no need to to login again..

mfano, hzo server zipo hivi kwenye string yake... auth-user-pass
wewe una ongeza inakuwa auth-user-pass password.txt kwenye folder la config unacreate .text document yenye jina passwords.text humo ndani unaandika :
username yako
password yako
mfano;
mgeni3
kbt342

Check kama unaweza ukaedit hizo configurations, ili isikuchoshe
HATA wale ambao bado passwords zao na username hazijafikia download limit wanaweza kufanya hivyo kuepusha kulogin again and again

Mkuu ungeijaribu wewe ndo ukaja kuwashauri watu wafanye icho kitu
Mwanzoni kabla ya kuzi-edit zilikuwa Hivo lkn openVPN tunazozitumia zinashindwa kusoma hiyo account.txt ndo maana ukifuatilia zile configs nilizotoa za openVPN settings kwa Hingerbread zinakitu cha hivo au nikitoa original utakuta hicho kitu kipo lkn it was proved not to work with Open VPN nilioshare mm ndo maana nikaifuta lkn hiyo account.txt nikaibakiza maana OpenVPN settings kwa wale wa GingerBread inaweza kuisoma passwd ndani ya account.txt

So kuwa makini unapotoa ushauri lazima uwe umefanya kitu na kimefanya kazi
Sio OpenVPN zote zinaweza soma hicho kitu ndo maana hakipo
 
Mkuu hizi password zina time limit? Mimi imenigomea baada ya siku 2 tu.

Sorry for not replying lkn in short lengo langu nikuwafanya watu wawe aware na huu mchezo wa Free Internet kwa VPN
pia nilitaka pia watu wawe na uwezo wa kutengeneza configs zao hivo nikaona nikiwaachia watu hizo account ambazo nilikuwa nimeziload Voucher ya mwezi mmoja (sawa na thamani ya 10,000/= kama unanua) nikaona watu tutorial ya Pili hawatoifanyia kazi and my aim haitakuwa reached.

Najua sio wote wataweza edit na sio wote inabidi wapate free internet daima ili mareseller wa VPN wasijenichukia BURE
Ndo maana nikailimit muda lkn nikatoa alternative ambayo najua sio wote wataiweza lkn tu walio wajanja wakufikiri
 
Mkuu ungeijaribu wewe ndo ukaja kuwashauri watu wafanye icho kitu
Mwanzoni kabla ya kuzi-edit zilikuwa Hivo lkn openVPN tunazozitumia zinashindwa kusoma hiyo account.txt ndo maana ukifuatilia zile configs nilizotoa za openVPN settings kwa Hingerbread zinakitu cha hivo au nikitoa original utakuta hicho kitu kipo lkn it was proved not to work with Open VPN nilioshare mm ndo maana nikaifuta lkn hiyo account.txt nikaibakiza maana OpenVPN settings kwa wale wa GingerBread inaweza kuisoma passwd ndani ya account.txt

So kuwa makini unapotoa ushauri lazima uwe umefanya kitu na kimefanya kazi
Sio OpenVPN zote zinaweza soma hicho kitu ndo maana hakipo

that is why i said check kama unaweza kuedit hzo configurations na pia nkasema ingekuwa kwenye computer ungefanya namna hiyo.
 
that is why i said check kama unaweza kuedit hzo configurations na pia nkasema ingekuwa kwenye computer ungefanya namna hiyo.

You are right kwa ushauri lkn ni totally difficult yaani utaambiwa failed to read "auth-user-pass"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom