Mkuu laini gani asee unaenjoy kiasi hichoNa hapo ni wiki nzima.![]()
Voda aiseeeMkuu laini gani asee unaenjoy kiasi hicho
hongeraVoda aiseee
Aiseee asante mkuu kwa kutufahamishaila huyu jamaa anaweza kuwa tapeli kbs nimefuatilia maelezo yake nikamcheck PM .
Akaniambia elfu 8 etii imepanda ,mara nitume pesa kbl ya kazi ? ili niibiwe kiurahisi .
Wakati ndugu zetu kina Pawaga huwa wanapiga kazi ukiona imefanya vyema unalipa .
Nimeona nitupie screenshot km uthibitisho .View attachment 693816 kuna watu wengine ni wezi humu ndani .
Etii elfu 5 mara imepanda ndo kumwambia bazi niunge oo kuna pesa kidogo natakiwa niweke kwenye ACC yako ili utumie unlimited internet .
Nikaona HUU NI WIZI .
punguza garama maana Kwa hio elfu 5000 napatakama unahitaji free internet unlimited for 1 month kwa shiling 5000/= njoo inbox
make sure unatumia
voda au airtel
HOW COMES IS FREE THEN YOU NEED 5000? AR U OK UPSTAIRS?kama unahitaji free internet unlimited for 1 month kwa shiling 5000/= njoo inbox
make sure unatumia
voda au airtel
toka wakulize umekuwa mwangalifiAiseee asante mkuu kwa kutufahamisha
Sijawahi kulizwa ila umakini ni muhimu kabla haujaingiatoka wakulize umekuwa mwangalifi
ha hatoka wakulize umekuwa mwangalifi
DUH KWELI WEWE NI TEJAMwizi tu huyu