SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,182
- 1,716
najua we ni mtu mzima na akili timamu. Ushanielewa nilichokimaanisha hapo juuumeibiwa vitu vingapi
najua we ni mtu mzima na akili timamu. Ushanielewa nilichokimaanisha hapo juuumeibiwa vitu vingapi
imekuelewa mjombanajua we ni mtu mzima na akili timamu. Ushanielewa nilichokimaanisha hapo juu
Nini hiyo mkuuTunnel Guru ukiwa na ufahamu wa Virtual Private Network unaweza ukafanya mwenyewe tu
Ukishaweka neno FREE usiweke beikama unahitaji free internet unlimited for 1 month kwa shiling 5000/= njoo inbox
make sure unatumia
voda au airtel
Siri itavujaMijitu mingine bhana! Mswahili Mswahili tu. Hivi kama ungeweka tu kila kitu hadharani hapa ungepungukiwa na nini labda?
Hayo makampuni hawazijui platform kama hizi,huwa hawapitii..so wakiona wataacha tu hivyo hivyoUnajua haya makampuni ya simu yanatuibia sana pesa zetu... So si vibaya ukaweka ujuzi wa kupata hayo makitu kufidia pesa tukizoibiwa na tunazoibiwa na hayo makampuni ya simu
Kumbuka hayo makampuni yapo huku kwenye mitandao, so kila atachoweka lazma na wao wakaki undoUnajua haya makampuni ya simu yanatuibia sana pesa zetu... So si vibaya ukaweka ujuzi wa kupata hayo makitu kufidia pesa tukizoibiwa na tunazoibiwa na hayo makampuni ya simu
Unaweza nipa lecture kidogo mkuuTunnel Guru ukiwa na ufahamu wa Virtual Private Network unaweza ukafanya mwenyewe tu
Mzee wa kuweka mzigo na huku upo?Unajua haya makampuni ya simu yanatuibia sana pesa zetu... So si vibaya ukaweka ujuzi wa kupata hayo makitu kufidia pesa tukizoibiwa na tunazoibiwa na hayo makampuni ya simu
Pole sana mkuuSina hamu nahawa jamaa mwezi wa kwanza mwaka huu nimeibiwa 20,000/= ya tangazo kama hili jamaa aliweka tangazo kama hili nikamtafuta akasema tuma pesa nikupe Huduma nikatuma hiyo pesa hakupatikana tena hewani wakuu
Fafanua kidogo hapo ili nasi tunufaike na hiyo huduma ya TG.Tunnel Guru ukiwa na ufahamu wa Virtual Private Network unaweza ukafanya mwenyewe tu
NIMEZINGUA WAPIBRO UNAZINGUA
NJOO WHATSAPP KWENYE ILE NAMBAoya nikutext au
sina android phone ndo maana natumia telegram web niliibiwa simu mkuuNJOO WHATSAPP KWENYE ILE NAMBA
NJOO INBOX NIKUPE NAMBA YANGU YA TELEGRAMsina android phone ndo maana natumia telegram web niliibiwa simu mkuu
ALREADY DONENJOO INBOX NIKUPE NAMBA YANGU YA TELEGRAM
Not free,say "unlimited internet" for Tsh 5,000/=kama unahitaji free internet unlimited for 1 month kwa shiling 5000/= njoo inbox
make sure unatumia
voda au airtel