free internet 1month 5000/=

free internet 1month 5000/=

Sina hamu nahawa jamaa mwezi wa kwanza mwaka huu nimeibiwa 20,000/= ya tangazo kama hili jamaa aliweka tangazo kama hili nikamtafuta akasema tuma pesa nikupe Huduma nikatuma hiyo pesa hakupatikana tena hewani wakuu
Pole mkuu Hata Mimi nilishawahi Piga 7000,sasa yupo Jamaa wa uhakika unapata dk 1400 mitandao yote kwa mwezi kwa 7000 ukihitaji nakupa namba Mimi kaniunga na inapiga kazi.ni pm Nikupe nambazake.
 
Pole mkuu Hata Mimi nilishawahi Piga 7000,sasa yupo Jamaa wa uhakika unapata dk 1400 mitandao yote kwa mwezi kwa 7000 ukihitaji nakupa namba Mimi kaniunga na inapiga kazi.ni pm Nikupe nambazake.
Mkuu nami nipo
 
Sina hamu nahawa jamaa mwezi wa kwanza mwaka huu nimeibiwa 20,000/= ya tangazo kama hili jamaa aliweka tangazo kama hili nikamtafuta akasema tuma pesa nikupe Huduma nikatuma hiyo pesa hakupatikana tena hewani wakuu
Hahah pole matapeli hawa kua makini
 
Pole mkuu Hata Mimi nilishawahi Piga 7000,sasa yupo Jamaa wa uhakika unapata dk 1400 mitandao yote kwa mwezi kwa 7000 ukihitaji nakupa namba Mimi kaniunga na inapiga kazi.ni pm Nikupe nambazake.
mpigo juu ya mpigo
 
28a65d98831dc73447de4e7ff252c2a7.jpg
 
Pole mkuu Hata Mimi nilishawahi Piga 7000,sasa yupo Jamaa wa uhakika unapata dk 1400 mitandao yote kwa mwezi kwa 7000 ukihitaji nakupa namba Mimi kaniunga na inapiga kazi.ni pm Nikupe nambazake.
Mkuu kwa hiyo elfu 7 napata gb ngapi ?
 
ila huyu jamaa anaweza kuwa tapeli kbs nimefuatilia maelezo yake nikamcheck PM .
Akaniambia elfu 8 etii imepanda ,mara nitume pesa kbl ya kazi ? ili niibiwe kiurahisi .
Wakati ndugu zetu kina Pawaga huwa wanapiga kazi ukiona imefanya vyema unalipa .
Nimeona nitupie screenshot km uthibitisho .
Screenshot_20180211-111317.png
kuna watu wengine ni wezi humu ndani .
Etii elfu 5 mara imepanda ndo kumwambia bazi niunge oo kuna pesa kidogo natakiwa niweke kwenye ACC yako ili utumie unlimited internet .
Nikaona HUU NI WIZI .
 
Nitafsirie ulichikiandika hapo kwani Mimi sijasoma kama Wewe mwenzangu na bahati mbaya hata Kiingereza chenyewe nacho sikijui.
Umejuaje kuwa hicho ni Kiingereza na sio kireno au Kilatini.?
 
Wabongo wacha wawe wa bongo tu
Mtu kajitolea tu yaani free internet siku 30 bila kikomo kwa buki5 hapo kajitolea tu
Lkn wabongo hawaridhiki wanataka mteremko tu
Hawa ndio wabongo hawapatikani duniani kote isipokua bongo tu
 
Back
Top Bottom