Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.
ukuwadi wa kisiasa hauna umri. wewe ndio wa kushangaza!!!huoni huko majukwaani yeye ndiye kawa kuwadi wa lowasa kisiasa.
Kwani unadhani Sumaye anauwezo hata wa kutafakari kwa kina mtu ambaye kwenye uongozi wake wote kahurumiwa tu na mzee mkapa vinginevyo asingefika kokote.Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.
Mafisadi mwaka huu mnakazi sana ikishaanzishwa mahakama ya mafisadi ndiyo mtafute pakujificha.Ukawaaaa!!!CCM OUT
Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.
Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.