Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,838
Kwa Lowassa ameufyata. Yaani amekuwa kama kambwa kanakomfuata bwana. Mpaka inasikitisha. Sijui naye anategemea atapewa cheo gani. Waziri mkuu mbovu kabisa ambaye tumeshawahi kuwa naye. May be anaogopa kunyang'anywa mashamba yake aliyopora. Uchu wa madaraka ni shiiiiidah!