Fredrick Sumaye unajidhalilisha sana kwa Lowassa

Fredrick Sumaye unajidhalilisha sana kwa Lowassa

Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.

Acha mambo ya umwinyi
 
Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.

1. Ally Hassan Mwinyi
2. B. Mkapa
3. Kinana

Woote hawa wanahaha hovyo majukwaan kumnadi mapadloc(Maguful)

Utakuwa na kichwa cha panzi kama unafikra dhaifu namna hii.
 
Anamsujudu kivipi
Watu wengine wanauelewa mdogo sana au sijui niseme upungufu wa akili.
Kwani leo hii Kikwete anavyomnadi Magufuli anamsujudu....sasa tuache muda wa mabadiliko umefika
Ccm kwisha habari yake
Wananchi wameshaamua
 
Wanamuita Zero ndio hao hao wanawaita watanzania "Wapumbavu,malofa na mbumbumbu",Lowassa ndio chaguo la watanzania wote wakiwemo wana CCM.Hata Nelson Mandela aliwahi kuitwa Gaidi na baadae akawa shujaa na mkombozi!
 
Vunja kofuli, Vunja kitasa, ingia ndani mwaga pombe.. By saed kubenea!!! Hahaaa
 
Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.

Kwa lugha ya kimombo (English) wanasema 'look before you leap', pia 'think b4 you talk'. Kwa kauli yako unamaanisha Rais Kikwete, marais wastaafu Mwinyi na Mkapa nikitaja tu wachache wanajidhalilisha kwa kumpigia kampeni mgombea was ccm John Magufuli. ?

Mimi naoni hautaki kutuaminisha hivyo, lakini una uchungu fulani kwa waziri mkuu mustaafu Mh. Fredrick Sumaye. Maji yakimwagika hayazoleki!

Sumaye ameshasema LOWASSA TOSHA!
You can't obviously undo this!
 
Hujui unaloongea..Hawa akina warioba,msuya,n.k wana ugonjwa unitwa Fear of Unknown..wanaogopa kitu ambacho hakijulikani..ni inborn so matibabu yake ni Ukawa
 
Mr.0 miaka kumi ya uwazi mkuu hakuna kumbukumbu ya kilichofanywa mr. 0 sijui kasahau nini
 
Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.


mbona we ulikuwa mke wa riziwan sasa unamshededea nape
 
Vipi mkuu kwani Mkapa si nasikia alikuwa rais Magufuri waziri wake?
 
Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.

Hayo ndo wasiotosheka hata aridhi yote wakipata wataomba na mbingu waimiliki
 
Pipooooooozz!!
Kura kwa LOWASSA
Kura wa wagombea wote wa UKAWA.
Urais Ubunge
Udiwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom