Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,705
- 11,298
Yani wewe ulikua boss wa lowasa,leo unamsujudu yeye.
Dah!kweli maisha hayana usawa kabisa.angalia wenzio wakina malechela,warioba,msuya na hata pinda..wako kimya wanacheza na vijukuu vyao tu hadi raha.
Acha mambo ya umwinyi