Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Sumaye wakati anaondoka chadema alitamka mambo mazito eti, CHADEMA haina demokrasia.
Sasa yuko CCM, na fomu waliyo print ni moja tuu.. hakuna nyingine.
Sumaye nadhani muda huu yupo Dodoma , anatafuta kopi ya fomu aliyo pewa rais Magufuli.
Karibu sana CCM...
Zaidi, soma: Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye arejea CCM, alijiengua CHADEMA baada ya kuambiwa na Mbowe 'Sumu haionjwi kwa kuilamba'
Sasa yuko CCM, na fomu waliyo print ni moja tuu.. hakuna nyingine.
Sumaye nadhani muda huu yupo Dodoma , anatafuta kopi ya fomu aliyo pewa rais Magufuli.
Karibu sana CCM...
Zaidi, soma: Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye arejea CCM, alijiengua CHADEMA baada ya kuambiwa na Mbowe 'Sumu haionjwi kwa kuilamba'