Baba yangu ni marehemu,,alinilea kusimamia haki na utajiri wa fikra sio mali
Hilo kwetu siyo muhimu hatakidogo. cha muhimu kwa sasa CCM OUT, baada ya hapo ndiyo tuanze kujadili hayo mambo yako.
Kama jamaa alikuwa ametelekeza familia yake,je huo nao ni mfano wa kuigwa?upande mwingine ni Magufuli,,mtoto wake aliumwa akafia muhimbili sio nchi za nje: sina data zake zaidi,,,kama unazo mwaga hapa.
Kikwete ameshamaliza muda wake,,sina time naye tena: najadili wanaotaka kutuongoza
Kalete na ya ridhiwan kwanza ndio tutakuelewa
Sawa tumesikia........kuna la zaidi.........?.......vipi kuhusu upande mwingine.........?......
~Panone ana hisa 98.2%
~Tanzanite 95% makaburu 5
~Mwadui 95.5%
~Mtwara gas 78.2%
~Simba Trust 80%
~Mashamba ya Miti kule Iringa zaidi ya Ekari 400.
~Scania,canter,na magari mengine ya mizigo zaidi ya 200
Hizo ni zinazofahamika na wananchi wengi,unafikiri anavyoitwa Bilionea wa Msoga wanakosea?[/QUOTE
Hv ridhiwan anafanya kazi wapi??
C kamaliza shule juz tu au alipewa penshen yake kabsa
Wanajamvi,
Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.
Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.
Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.
Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.
Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.
Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?
Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)
Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta
~Panone ana hisa 98.2%
~Tanzanite 95% makaburu 5
~Mwadui 95.5%
~Mtwara gas 78.2%
~Simba Trust 80%
~Mashamba ya Miti kule Iringa zaidi ya Ekari 400.
~Scania,canter,na magari mengine ya mizigo zaidi ya 200
Hizo ni zinazofahamika na wananchi wengi,unafikiri anavyoitwa Bilionea wa Msoga wanakosea?[/QUOTE
Hv ridhiwan anafanya kazi wapi??
C kamaliza shule juz tu au alipewa penshen yake kabsa
Sijui ameajiriwa wapi hata,ila huo utajiri wote kaupata katika awamu hii hii kiurahisi kabisa.
Andika na wa mtoto wa mshua
Wanajamvi,
Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.
Kampuni ya pili ni Integrated Property Limited, wale waliovunja hile nyumba ya sanaa na kujenga majengo yao mawili pale. Rostam na Freddy ni wamiliki wa kampuni hii.
Barare Ltd, wao wanamiliki hoteli ya kitalii huko Mbuzi mawe Serengeti pamoja na shamba la hekari 1950 hapo kigamboni, isitoshe wanamiliki pia hotel tano zanzibar.
Fred ni best friend wa Masha, na wapigaji wa ukweli wote wanaweka vikao pale 777 kwa Mlatie ili wapige pesa ndefuuu.
Mke wa Fred anamiliki shares 30% pale Hyatt Hotel.
Familia hii ina utajiri wa kutupwa, sijui wenzetu walitutangulia lini?
Fred ana kadigrii kamoja, mke wake ni form 6, wana watoto wanne, mmoja kwa bahati mbaya ana matatizo ya ubongo(coincidence, uchawi?? i don't know)
Swali langu:
Hii familia imepataje utajiri wa kutupwa hivi, achana na nyumba Uk, Sweden na Malta