Wabongo kwa unafiki ni funga kazi.Nguo og zipo south si hapa bongo hapa ni michina tu
Nguo zake ukivaa mpya ukivua rangi ya nguo inabaki kwenye ngozi.
Kadeti finishing kama za fundi maiko nyuzi zinaning'inia.
Billionaire wa Instagram anashea chupa ya Hennessy na machawa
Vipi bebe hujafikiria kumsaka? HahahaAaaah Fred jamani asitufanyie hivi.
Yani mtu anunue Gucci kwa 15k umwambie kavaa OG? Bora ingekua mtumba tungeelewa.
Atuache kidogo
Daah sio vizuri ujueWe acha tu zile nguo huwezi vaa raia wakakuelewa labda vunjabei mwenyewe...yale ni matambara
Nliingia kwako nkawa nachagua jins ..nkaambiw 19 skupata hata moja, Kuna upande nkaona jins na kadet zile men zenyew, huwez Amin wakanambia hz vip huruhusiw kuchagua zna watu wake , nkasema Kwan shngap hawakutaja Bei, af nikwachek wauzaji ni wengi wengne sjui magay hata skuelewa af jinz zenyew walisema nschague ni za 35 tuMnataka OG kwa gharama ndogo?
Yeye ana watu wake anaowauzia,mkitaka nguo OG nendeni kwenye maduka makubwa yenye gharama.
Wateja nehiChuga kafungua mwaka jana duka Lake pale karibu na jogoo house ila sioni watu sanapale
Tatizo huko wengi wetu hatupawezi.woolworths hawa ndio wana vitu vya kweli kibongo bongo..
Daaah hhhaahahaahNguo zake ukivaa mpya ukivua rangi ya nguo inabaki kwenye ngozi.
Kadeti finishing kama za fundi maiko nyuzi zinaning'inia.
Billionaire wa Instagram anashea chupa ya Hennessy na machawa
Gucci ata za Mtumba Bongo kuziona tu shida,Sembuse ziwepo Sinza Madukani😁😁Baada ya kusikia jina Vunja bei kwa muda mrefu mitandaoni ikabidi na mimi nigoogle, nikafaikiwa kukutana na podcast moja ya vunja bei.
Jamaa ameongea mambo mengi sana na moja amewataka wateja waje kwa wingi kwenye maduka yake maana hamna kitu fake vyote ni original.
Anasema ukikuta nguo imeandikwa Gucci lakini inauzwa elfu 15 basi fahamu hela iliyobaki Fred Vunja bei kakulipia,nguo zetu zote ni OG.
waakuu yapi maoni yenu?
Pale pamoto kama nimezoea Vunja Bei😀😀😀😀 Kadet za Bwana yule kule wakati unatembea ukipatwa Jasho unaona rangi hiyo taratibu.Umaskini tabu sana.Siku moja nilikutana na dada alifanya shopping ya milioni 4 Woolworths Mlimani City.
Tehtehteh hatari sana.Nitajaribu siku. Nimevaa makadeti ya uyu MR Kadeti, na Kariakoo, dah shariti usifue, ukifua tu chalii.