TANZIA Fr. Privatus Karugendo amefariki dunia

Nyumbu mbona unatoa povu? Mwenzio keshaanza kutoa funza 😂😂

Naye corona imemchukua 🤣🤣🤣
Kumbe unajua Corona ipo? Mkae mkijua haitamuacha mtu ilianza na Mungu wenu. Ukimfukua sasa hivi na Ile kichwa yake unaweza kuhisi umekutana na korosho inayoota😃😃
 
Vichwa vya kihaya vilivyipa shida serekali vinapungua! R.I.P Prof. Baregu, R.I.P Fr. Karugendo[emoji24][emoji24][emoji7]
 
Mtu wa Mungu pumzika kwa amani.
 
Matendo mema aliyoushi yatamtetea. Mungu ailaze mahali pema peponi
 
Sawa Ila alianza shujaa wenu anajifanya hataki barakoa kabetri kakafreeze sijui kalimtandika shoti. Corona ipo ndio uvae barakoa jomba utakufa kama Mungu wenu.
Shujaa yule Alikuwa na laana. Maovu yake yataendelea kuitafuna uzao wake milele na milele.
 
Shujaa yule Alikuwa na laana. Maovu yake yataendelea kuitafuna uzao wake milele na milele.
Mrundi mwenye roho ya kihutu Yani roho yake ingekuwa inaonekana ingekuwa nyeusi sana. Roho mbaya sana haijawahi kutokea. Alikuja kuwazidi madikteta wote waliowahi kutokea East and Centra Africa. Ilibaki kidogo amalize kujenga Gbadolite city yake kama Mobutu. Akasepeshwa fasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…