Nassy Muller
Member
- Sep 30, 2016
- 85
- 20
Wakuu apa cjaelewa nivoandikiwa ivii inamaana Natakiwa kujaza tenaa....kana kwamba 4th round nimekosa tena au lah....
Dah....Hatari tupu
Dah kama nikwel nashkuru munguApo umepata mkuuu we ingia cas/TCU .home kuna sehem kwa chini wameandika provisionally selection we ingia apo uingize taarifa yyte ambayo ni index ya 4 or 6 utaambiwa kozi hadi chuo ulicho pata asante!!!
Mhhhh tenaaa....mbona nikitaka kubadili naambiwa system closedHapo bado hujapata but umepew fursa ya kubadilisha program na kuweka ambazo una sifa ya kuzisoma......either ulizoziweka hukua na sifa ya kuzisoma.. .ingia in ur profile ubadili selection
Itatoka liniiiround ya 5 on air soon
kuwa mpole na uwe na sifa stahikiItatoka liniii
Tyr Nshapata Chuo Hii 4th roundkuwa mpole na uwe na sifa stahiki
Tyr Nshapata Chuo Hii 4th round[hongera
Kwel qabixaa kk me nimeingiaa ndo nkakuta nimepangiwa chuo tyrUsidanganywe humu kuna wanafki we ingia kwenye profile kwa kusearch provisionally result