saiditawani
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 369
- 250
Achana nae mkuuinaonekana wewe haujasoma mbulula wewe,historia umesoma wewe ----- au unaongea tuu,waulize wanahistoria waliyoyaandika ktk vtabu walikuwepo kuyashuhudia,acha ujunga wewe gamba
mkuu hawakuja nao ingekuwa wamekuja nao usinguwepo hata huko sumb'ngaSAMAHANI, I DONT MEAN TO CAUSE HARM, naombeni kuuliza, waarabu walipokuja watakuwa walikuja na mashetani yao eh?
Au uchawi in these lands of ours have always been there hata kabla ya waarabu?
Watu wakiongelea a 'typical african', anaongelea mtu anayeabudu miti, mawe,milima, jua. Sijawahi kusikia habari ya mapepo, wala ufanyaji miujiza.
ENLIGHTEN MEE, OOHH U ENLIGHTENED ONES
sijuiKesho unawashiwa Bukoba. Ni kweli kuwa kiongozi wa mbio za mwenge hufariki mara tu baada kuumbiza wilaya zote?
Khaaaa"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"
Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl.Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU"..... Inamaana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa? Na kwann Forojo Ganze hakutangazwa kama mwanzilishi wa Mwenge?
Kumbe ndo maana ata team yao ya taifa inaitwa HARAMBEE STARSDuuhh..thanks so much, i ddnt knew that..big up yourself.
Lakini ChovuKumbe ndo maana ata team yao ya taifa inaitwa HARAMBEE STARS
Nilijua jina Israeli limetoka kwa Israeli mwenyewe, kama sikosei ni mjukuu au mtoto wa Ibrahimkwa maana nyingine unamaanisha kuwa neno 'harambee' ni mantra? (mantra ni neno maalum lenye energy ambalo likirudiwa mara nyingi lina produce a certain effect}.
ujue hata wayahudi kina ben Gurion mwaka 1948 nchi yao waliamua waiitie ISRAEL ikiwa ni muunganiko wa majina ya miungu wao watatu ISIS, RA, na ELOHIM. Isije ikawa huyu HAR ikawa ni corruption ya jina RA au RAMA wa mahabarata.
ACHA UNAFIKI kama unazo hizo picha weka humu maana wewe NDO umeleta MadaWw umeshachafuliwa tayari na huo mwenge wako,mbona hujiulizi kwann aliwasha mwenge badala ya mshumaa,nitafute nikupe historia na picha halisi za huyo Ganze,usishangilie kitu usichokijua chanzo chake
Utafutwe kwa lipi usiloweza kuliandika hapa. Sasa umefuta nini hapa???Ww umeshachafuliwa tayari na huo mwenge wako,mbona hujiulizi kwann aliwasha mwenge badala ya mshumaa,nitafute nikupe historia na picha halisi za huyo Ganze,usishangilie kitu usichokijua chanzo chake
Imenibidi nirudi huku mkuu kupata historia ya mwenge na Forojo GanzeHuyu Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.
Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.
Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)