Former United Nations Secretary-General, Kofi Annan is dead

Former United Nations Secretary-General, Kofi Annan is dead

RIP Koffi Atta Annan, alikuwa role mdel wangu and I'm sure one day yes
 
R.I.P mwafrika uliyeonesha dira ya kuaminiwa kwa Africa kuitawala dunia, akaja Salim A. Salim, Asha Rose Migiro, Obama. Waafrika tumeoneshwa dira na Kofi Annan
Salim Ahmed Salim alianza Kuwa maarufu kwenye corridor Za UN kabla ya Annan
1982 tayari jina la Salim lilishajadiliwa mpaka hadhara ya Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa
 
It's very Sad news !

I know for certain that we never lose the people we love, even to death. They continue to participate in every act, thought and decision we make. Their love leaves an indelible imprint in our memories. We find comfort in knowing that our lives have been enriched by having shared their love.
 
Hayo yameelezwa na familia yake kupitia ukurasa wake wa twitter. Wamesema amefariki baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Tutafute apdates....
 
Huwezi kuwa SSecretary General wa UN eti kwa sababu wazungu wamekuamini. Big noo! Wote wanaowekwa pale ni madoli ambayo wana uhakika wa kuyacontrol kufikia malengo yao ya muda mrefu na muda mfupi. Ndio maana mtu km Salim A.Salim walimkataa walijua msimamo wa Tz achilia mbali msimamo wa Salim mwenyewe .Simaanishi Koffi hakua na uwezo.​
Koffii Annan, wazungu walitumia mgongo wake kusambaza silaha Africa ni zikaua watu wengi sana. Ile Blood Diamond msambazaji wa silaha alikwa ni mtoto wa Koffii Annan ambae alikuwa ni mchanganyiko wa mzungu. Vikundi vyote vya kijeshi vilikuwa vinapata silaha kupitia mgongo wake, wazungu walitumia jina LA Koffii Annan kufanya bihashara kubwa ya silaha na kupora dhahabu na madini mengi Africa. Koffii Annan alikuwa anashutumiwa na mataifa ya Russia, China na mataifa ya kisosharisti kwamba alikuwa anafaidika na bihashara za silaha Africa. Leo anaonekana MTU poa. Huyu alikuwa zaidi ya shetani mpaka Leo maeneo mengi ya Africa imeshindikana kuzikusanya silaha zilizopo mikononi mwa wananchi ukienda DRC Congo maeneo yote ya KIVU, Bukavu, Goma na maeneo mengine ni vigumu sana. Maana bihashara ya silaha nzito za kivita zimetamalaki, watu wanamiliki silaha nzito sana kama AKA-47,SMG na mimashine mizito nenda uko Sudan, Somalia na sehemu nyingi za Africa magharibi. Na iyo yote ulikuwa mkono wa Koffii Annan na washirika wake kupitia mtoto wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salim Ahmed Salim alianza Kuwa maarufu kwenye corridor Za UN kabla ya Annan
1982 tayari jina la Salim lilishajadiliwa mpaka hadhara ya Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa
Asante mkuu. Ni muhimu kuijua historia
 
Hizi smartphones zinadhalilisha watu sana, hiyo heading inakufanya mleta mada uonekane kama msichana wa form 1
 
Back
Top Bottom