Former United Nations Secretary-General, Kofi Annan is dead

Former United Nations Secretary-General, Kofi Annan is dead

IMG-20180819-WA0004.jpg
 
Tuko pamoja nao ndg wa marehemu pia tunatoa pole kwa wafiwa wote
Nalog off
 
Soma Historia ya Mwafrika vizuri mkuu. Mwafrika wa kwanza kuonyesha Dira mpaka wazungu wakastaarabika na kutuibia maarifa alikuwa anaitwa Mansa Musa I.
Pumzika kwa Amani Tata Kofi Anan.

Ni lini mligeuka mazwazwa wa kuanza kutawaliwa na kuibiwa kijinga kiasi hiki licha ya kuwafundisha ustaarabu hao wengine, au umekaririshwa tu?!
 
Back
Top Bottom