Soma Historia ya Mwafrika vizuri mkuu. Mwafrika wa kwanza kuonyesha Dira mpaka wazungu wakastaarabika na kutuibia maarifa alikuwa anaitwa Mansa Musa I.R.I.P mwafrika uliyeonesha dira ya kuaminiwa kwa Africa kuitawala dunia, akaja Salim A. Salim, Asha Rose Migiro, Obama. Waafrika tumeoneshwa dira na Kofi Annan
Umemsahau prof Mama Ana Kajumlo Tibaijuka (Hela ya mboga)R.I.P mwafrika uliyeonesha dira ya kuaminiwa kwa Africa kuitawala dunia, akaja Salim A. Salim, Asha Rose Migiro, Obama. Waafrika tumeoneshwa dira na Kofi Annan
Obama?!R.I.P mwafrika uliyeonesha dira ya kuaminiwa kwa Africa kuitawala dunia, akaja Salim A. Salim, Asha Rose Migiro, Obama. Waafrika tumeoneshwa dira na Kofi Annan