Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
All his Successor Fails to reach his Legacy he left behind....The world become the worst place than before....R.I.P Kofi Annan
Ndio Obama, African American, MjaluoObama?!
Huo ni mtazamo wako, Mimi Kofi Annan ndio mwafrika wa kwanza kumjua kama kiongozi wa taasisi kubwa kama UN, Niangalie historia ipi tenaSoma Historia ya Mwafrika vizuri mkuu. Mwafrika wa kwanza kuonyesha Dira mpaka wazungu wakastaarabika na kutuibia maarifa alikuwa anaitwa Mansa Musa I.
Pumzika kwa Amani Tata Kofi Anan.
May your Soul Rest In Power comrade.
Ila reliable source ya hii taarifa ni ipi?
Tatizo lenu vijana ni Ujuaji na UONGO mwingiiiii. Nenda kasome bandiko lako la kwanza uliyoainisha halafu rudi kwenye hili ulilobadili gia angani.Huo ni mtazamo wako, Mimi Kofi Annan ndio mwafrika wa kwanza kumjua kama kiongozi wa taasisi kubwa kama UN, Niangalie historia ipi tena
Uyu alikuwa mtu wa pili kustarabika na kuaminiwa na wazungu baada ya mansa musa
Mbele yake yuma sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa na ukweli wako mkuu. Mimi nimeongelea watu niliowakuta hai na kuwasikia wakati najitambua kama unahisi hana mchango wa kuchochea uongozi kwa watu weusi basi kaa kimya.Tatizo lenu vijana ni Ujuaji na UONGO mwingiiiii. Nenda kasome bandiko lako la kwanza uliyoainisha halafu rudi kwenye hili ulilobadili gia angani.
Pathetic!