juma r jodiwa
Member
- Aug 18, 2018
- 6
- 1
Mwenyezi mungu amlehemuHayo yameelezwa na familia yake kupitia ukurasa wake wa twitter. Wamesema amefariki baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Tutafute apdates....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyezi mungu amlehemuHayo yameelezwa na familia yake kupitia ukurasa wake wa twitter. Wamesema amefariki baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Tutafute apdates....
Typing error ndugu, nilikua na type huku nagonga msosi sorry..Hizi smartphones zinadhalilisha watu sana, hiyo heading inakufanya mleta mada uonekane kama msichana wa form 1
alimuua nani ?Ww unafikiri Koffi Annan alikuwa mtu mwema,hapana umekosea sana. mikono yake imejaa damu.
Mkuu, SAS alikuwa maarufu lakini aliwakilisha Tanzania ya Ujamaa.Salim Ahmed Salim alianza Kuwa maarufu kwenye corridor Za UN kabla ya Annan
1982 tayari jina la Salim lilishajadiliwa mpaka hadhara ya Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa
Acha kuleta utani wako wa kipumbavu katika mambo ya msingi.Kwa bahati mbaya Mbowe umemshahau